Njoo tushuke mistari ya za kitambo

Njoo tushuke mistari ya za kitambo

Mchunge mke , nna sumu kama nge
niko full ka ikulu , sipigi kazi za nje
namwaga radhi ,nafanya vituko
sipendi ahadi , nachana mifuko
simsumbui mtu ni starehe zangu , maisha yenyewe mafupi sijui tarehe yangu

kama una familia bora usiniige mimi
hukawii kuuza nyumba usipokua makini
nakesha kama bundi sikumbuki kitanda
nakula mitungi Hadi mida ya Makonda


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya maneno dhahiri hii hoja si ya kuokota,
Mskika mawili siku zote moja humponyoka...

SUKAH
 
UMBO NAMBA NANE.

Linachanganya umbo lake nikimpata simwachi,
linanfanya nimfate akinimwaga itantach aaa!
Aaa anavutiaaa!
Linachanganya umbo lake nikimpata simwachi,
linanfanya nimfate akinimwaga itantach aaa!
Uuuutafurahiaa!

Ni umbo namba nane ananichanganya, kutoka moyoni nasema nampenda sana, au apige hilo gitaa majani kama santani ili na mimi nimulinde mama.

Ni umbo namba nane ananichanganya, kutoka moyoni nasema nampenda sana, hebu piga hilo gitaa majani kama santana ili namimi nimulinde mama.

Nimekaa chini mtu mzima nikafikiria,
warembo wengi sana kwenye hii dunia,
ni umbo namba nane kichwani aka nijia,
Toka moyoni sina budi kumsifia,
Mwenye sura matata,
macho yanayoitaaa,
Hana utata huyu binti wa kiafrika,
Utamcheki alivoumbika na mbele katamajikaa,
Akitembea bado anatingisha.
Pendeza kimavazi hata akiweka poz,
Mtoto anaweka akifikia hadi kwenye njooz,
Sijui ni seme akae au niseme asimame ,
Ni umbo namba nane watu wote mumuone.

Ni umbo namba nane ananichanganya, kutoka moyoni nasema nampenda sana, au apige hilo gitaa majani kama santana ili nami nimulinde mama.

Ni umbo namba nane ananichanganya, kutoka moyoni nasema nampenda sana, hebu piga hilo gitaa majani zaidi ya santana ili namimi nimulinde mama.

Ananiuliza kama Nina dem namwambia sina.
Anahisi alishaniona sehem tatizo kansahau jina.
"Unaitwa nan FID Q, unaishi wapi GHETO, Kazi yako nini MZIKI" ausio

Mdomo unakuwa mzito niongee kipi cha maana.
Kivipi nimkazie jicho wakati bint kasimama.
Au nijikombee maujiko fid sitaki kujuana.
Rangi asinizingue kiivo mie simwachi kimwana..
Anaonesha hana malingo, lakin ashawahi kupima.
Alishanzimikia kimtindo mchizi kipingamizi sina.
Yuko shkopa niko shalo tina tina.
yuko full hoi kama wasemavyo watu wazima.

Ni umbo namba nane ananichanganya. kutoka moyoni nasema nampenda sana. au apige hilo gitaa majani kama santani ili nami nimulinde mama.

Ni umbo namba nane ananichanganya.
kutoka moyoni nasema nampenda sana.
hebu piga hilo gitaa majani zaidi ya santana ili namimi nimulinde mama.

Yeye anapokaa Mimi napajua.
Najua kumfuata wala haitanisumbua.
Kama ananipenda kweli nami nmpenda pia.
Ndo maana mpaka sasa bado namuimbia.
Ni umbo namba nane ananinchanganya.
Hebu piga hilo gitaa majani zaidi ya santana.
Na nikiwa nae watu watababaika.
Na macho kuona wakimuona watamfuata.
Nikawa nasifa zote.
popote alipo utataka we uende umfate.
Umvishe pete yeye.

Ni umbo namba nane ananichanganya. kutoka moyoni nasema nampenda sana. au apige hilo gitaa majani kama santani ili nami nimulinde mama.

Ni umbo namba nane ananichanganya.
kutoka moyoni nasema nampenda sana.
hebu piga hilo gitaa majani zaidi ya santana ili namimi nimulinde mama.

Aaaaa! Aaaaaaa! Mpenzi wangu.
Aaaaa! Aaaaaaa! Mpenzi wangu.
Aaaaa! Aaaaaaa! Mpenzi wangu.
Aaaaa! Aaaaaaa! Mpenzi wangu.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
kijana vip mbona hujagonga mlango jiapange kwenye foleni mmojammoja ndio mpango, ondoa mashaka tiba bora haitaji haraka subiri watibiwe wenzako nawe utafuata

Sent using kyala gwa maka
 
Nakusalimu mwafrika/nakusalimu habari gani?
Hebu tuketi tuseme ya ndani/sahau kuhusu hadithi za kale za upendo wako
Nataka tukae tuijadili kesho yako
Kutoka kupiga ramli na kutii mizimu//umeanza kufata amri za TV na simu
Na kwa ubaya umeikacha Sana'a/nakufuata sasa inayokulaza na njaa
..
........
 
Ukimwi hauzuiliki hata kwa kondomu za bati,
dawa ni moja tu nasema acha uasherati.
 
Ukinicheka shamban mi nakucheka sokoni/
chuma hufua chuma Ni mwendo wa roho mkononi/
Maisha Ni mpangilio ukitulia yanajiset/
Ni kama A to Z kwenye mfumo wa alphabet/

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni asubuhi ninaamka ninapiga mswaki,
Kisha naenda kubath niweke mwili safi,
Narudi ghetto nafungua kabati,
Natoa pamba bling bling kwa chati,
Juu tshet blaki na jeans ya kaki,
Chini nina simple white, yenye chata ya nike,....
Kisha Tena nalipulizia marashi psi psi nanukia Safi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante prof J Majani na Ulamaa
Mmegusa nnapopataka nami kwenye mtazamo nna jambo nataka kuweka
Maana kila kukicha mc’s wanaongezeka
Nasema very nice yes rap kama dhehebu mc’s kama wafuasi
Wingi wa wasanii inaonesha ni dini swafi
Yaan imekubalika
Waumini tupo wengi lakini bado nina shaka.....


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom