Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,403
- 12,019
Vipi mchizi wangu nakuona umesizi, unaonekana kama moyoni una majonzi, au dili zako leo haziendi sawa? jinsi unaonekana kama moyoni umepagawa! niambie ili nielewe, ili na mie nisipagawe, kwani tangu nimefika nakuona umepooza, ebu niambie kitu gani unachowaza, sema basi au kuna kitu nimekugasi ,niambie basi au kuna mtu amekugasi......



