ibesa mau
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 2,109
- 1,692
Nimekuwa mchezaji mkubwa huu mchezo. Huwa nakula na naliwa pia. Kakini ninachokiona ni kwamba yapo majina yana appear sana kana unaweza dhani kuna kanuni fulani ya mzunguko wa mashine wanaufahamu. Kwa anayehamu aje atupe maujanja.huu mchezo ni mzuri