painboy
Senior Member
- Dec 27, 2019
- 110
- 51
Habarini wana JF naimani mko powa sana.
Me ni trainer pia Physiotherapist na deal mazoezi kwa ujumla na nutrion na dietitian mzuri tu kwa ushauri wa kupunguza weight na kugain weight pia
Nimeona sio vibaya kuwashirikisha katika hili janga la kupunguza uzito ambalo kwa sasa linawatesa wengi na hawajui pa kuanzia kutokana na lifestyle iliyopo
Na magonjwa mengi saivi yanatokana na lifetyle na utandawazi wa nje ambao umetuhadhiri utamaduni wetu wa vyakula na kutuletea shida kubwa ya watu wengi kuwa na obesity (uzito uliozidi) kwan kilo uendana na urefu wa mtu tunapata BMI.
Kwa upande wangu ili kuwaongoza watu na kuwasaidia nimeona nitengeneze baadhi ya miongozo ya program za mazoez na diet ambazo ni rahisi tu na zitakupa matokeo makubwa na kwa haraka zaidi bila hata ya gym kwani diet ni 80% na mazoezi 20%
Hasa kwa wale ambao wanataka kuongeza shape ,kukata tumbo, kupata six pack,kuongeza hamu ya tendo,n.k
Kwahiyo kama unataka baadhi ya miongozo yangu nicheki .
Instagram painboy
Whattup@ 0625835225
***** ASANTENI*******
Sent using Jamii Forums mobile app
Me ni trainer pia Physiotherapist na deal mazoezi kwa ujumla na nutrion na dietitian mzuri tu kwa ushauri wa kupunguza weight na kugain weight pia
Nimeona sio vibaya kuwashirikisha katika hili janga la kupunguza uzito ambalo kwa sasa linawatesa wengi na hawajui pa kuanzia kutokana na lifestyle iliyopo
Na magonjwa mengi saivi yanatokana na lifetyle na utandawazi wa nje ambao umetuhadhiri utamaduni wetu wa vyakula na kutuletea shida kubwa ya watu wengi kuwa na obesity (uzito uliozidi) kwan kilo uendana na urefu wa mtu tunapata BMI.
Kwa upande wangu ili kuwaongoza watu na kuwasaidia nimeona nitengeneze baadhi ya miongozo ya program za mazoez na diet ambazo ni rahisi tu na zitakupa matokeo makubwa na kwa haraka zaidi bila hata ya gym kwani diet ni 80% na mazoezi 20%
Hasa kwa wale ambao wanataka kuongeza shape ,kukata tumbo, kupata six pack,kuongeza hamu ya tendo,n.k
Kwahiyo kama unataka baadhi ya miongozo yangu nicheki .
Instagram painboy
Whattup@ 0625835225
***** ASANTENI*******
Sent using Jamii Forums mobile app