star tv walishahama huko 906. kwa dish alilo nalo aongeze lnb nyingine kwa ajili ya nyuzi 75 atapata star tv, akina tv e na clouds kwa signal kuuubwaSwadakta. Hilo tatizo lipo kwa wengi. Cha kufanya, cheza na lnbf. Uwe unaizungusha kidogo kidogo aidha kuelekea kulia ama kushoto, ukishapata signal tayari. Unazungusha kidogo una search. Zikigoma unaendelea kuzungusha kidogo una search tena. Mpaka uipate. Kqma ni kukia iwe kulia tu, na kama unazunguaha kwenda kushoto iwe kushoto tu. Signal za Channel 10, Tbc na Star tv ziko weak sana kwenye hio satellite.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app