Njoo tujifunze.......

Njoo tujifunze.......

yani acting kabisa nashangaa hamna mchawi wa kiume wala mwenye jini mwanaume inaonekana Dada zetu na mama zetu ni rahisi kudanganyika kwa pesa ndogo ndogo
 
Siyo acting mkuu huyo jamaa nampata x pastor na hayo mafuta nimeyashuhudia ..its real
na kama hajahama ofisi zake zakhem naweza kukuelekeza ununue hayo mafuta na ufanye experiment mtaani kwako au kwenye sehemu yenye nyumati ya watu

1500 tsh labda awe amepandisha now
Mimi nakataaa kabisa yani grupu lote lile hamna mwanaume hata mmoja haiwezekani
 
Fanya statistics kwanini mashuleni watoto wa kike hupandisha na kuanguka wengi na sio wa kiume

Kama umewahi kusoma boarding schools utajuwa hilo
duh dunia imekwisha kaka sasa walijumuikaje pale na hali ya kuwa wanajua kuwa jamaa amekuja kuwaumbua si wangekimbia au hawakujua
 
Hiii vid ni ya muda kama miaka 3 au 4

Unaweza kuw unashirikiana na upande wa giza bila wewe kujijua.

And kipindi hiki usaniii mwingini, unaweza kuta mtu akijifanya kutoa maovu ya watu, ili ku buy trust zaidi....
 
Siyo acting mkuu huyo jamaa nampata x pastor na hayo mafuta nimeyashuhudia ..its real
na kama hajahama ofisi zake zakhem naweza kukuelekeza ununue hayo mafuta na ufanye experiment mtaani kwako au kwenye sehemu yenye nyumati ya watu

1500 tsh labda awe amepandisha now
Hiyo ofisi yenu iko wapi mkuu... Nimecheka mpaka mbavu zimeuma... Hii style ya misukule ya kina Gwajima haha teh. Nyie siku ya kiama mtakuwa kuni nyie...
 
Siyo acting mkuu huyo jamaa nampata x pastor na hayo mafuta nimeyashuhudia ..its real
na kama hajahama ofisi zake zakhem naweza kukuelekeza ununue hayo mafuta na ufanye experiment mtaani kwako au kwenye sehemu yenye nyumati ya watu

1500 tsh labda awe amepandisha now
Sasa ukinunua ndo ufanyie nini
 
Mkuu wa Pepo anapojaribu kutoa Pepo...?
hapo anawahamasisha tu kisha wanalala, uwezi toa pepo kwa msahafu, kunafanyika mawili tu, moja ni kulinyamazisha kwa muda kwa kulipa kile litakacho, pili ni kuweka pepo lingine kubwa lenye nguvu zaidi ya hilo lililopo ili kulinyamazisha, masharti ni lazima kulihudumia hilo lenye nguvu na kufuata masharti yake lisije kukugeuka.
 
Back
Top Bottom