Njoo tujiajiri

Njoo tujiajiri

Joined
Aug 20, 2016
Posts
25
Reaction score
9
Habarini nahitaji watu serious na wako tayar kutake risk na kufanya kazi kwa kujituma nakujitoa kwa miezi minne alafu utabaki kuwa na maamuz kuendelea kufanya kazi au kupumzika nakufaidi faida utakayokuwa unaipata. Nasisitiza tena nahitaji watu serious na wenye utayari.... Wewe ni mmoja wao piga 0715476787
 
Habarini nahitaji watu serious na wako tayar kutake risk na kufanya kazi kwa kujituma nakujitoa kwa miezi minne alafu utabaki kuwa na maamuz kuendelea kufanya kazi au kupumzika nakufaidi faida utakayokuwa unaipata. Nasisitiza tena nahitaji watu serious na wenye utayari.... Wewe ni mmoja wao piga 0715476787
dokeza kidogo mkuu!
 
Habarini nahitaji watu serious na wako tayar kutake risk na kufanya kazi kwa kujituma nakujitoa kwa miezi minne alafu utabaki kuwa na maamuz kuendelea kufanya kazi au kupumzika nakufaidi faida utakayokuwa unaipata. Nasisitiza tena nahitaji watu serious na wenye utayari.... Wewe ni mmoja wao piga 0715476787
 
kazi gani
inahitaji elimu gani?
muda wa kazi?
inahitaji mtaji?
umri na jinsia ?
vinginevyo hatupigi simu yaani nitumie vocha kupiga kitu ambacho hakieleweki?


kuna matapeli sana jf kila memba awe makini na watu hawa 😎😎😎
unaleta tangazo la kazi isiyo na kichwa wala miguu zaidi ya amba ya simu weraa hutupati
 
Habarini nahitaji watu serious na wako tayar kutake risk na kufanya kazi kwa kujituma nakujitoa kwa miezi minne alafu utabaki kuwa na maamuz kuendelea kufanya kazi au kupumzika nakufaidi faida utakayokuwa unaipata. Nasisitiza tena nahitaji watu serious na wenye utayari.... Wewe ni mmoja wao piga 0715476787
 
kazi gani
inahitaji elimu gani?
muda wa kazi?
inahitaji mtaji?
umri na jinsia ?
vinginevyo hatupigi simu yaani nitumie vocha kupiga kitu ambacho hakieleweki?


kuna matapeli sana jf kila memba awe makini na watu hawa 😎😎😎
unaleta tangazo la kazi isiyo na kichwa wala miguu zaidi ya amba ya simu weraa hutupati
Umeongea ukweli kabisa..... Tupe location wap kazi itafanyika
 
Sasa mkuu kweli unaonekana unania ila TANGAZO LAKO HALIJAKAMILIKA. Weka aina ya watu ambao unawaitaji ni wa aina gan sio mtu apoyeze salio lake alafu hana vigezo soo KUWA MUWAZI WATU WAKUTAUTE
 
Unazingua ww hata kama tuna shida ya kazi sio kiivo weka mambo tuelewe
 
Back
Top Bottom