Shozylin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 297
- 607
Kuna aisiye ijua biashara hii.? Ok Kama wapo ni biashara inayo jihusisha na utoaji wa mikopo midogo midogo ya dharula.
Kwasasa ni biashara iliyo shamiri kila Kona ya Tanzania huwezi pita mji au senta flani bila kukutana na ofisi kadhaa za watoaji wa mikopo.
Walio Anza kitambo wametengeneza pesa kuliko wanao ingia sasahivi.
Changamoto kwa wale wanao ingia sasahivi nikua idadi kubwa ya wateja utakao wapata ni wale ambao tayari Wana madeni kutoka ofisi zingine hivyo wakija kwako ukawapa hela watakusumbua kukurejeshea.
Sheria na taratibu za kuanzisha biashara hii unakutaka uwe na mtaji unao anzia sh 20-milion pia uwe na vibali vyote vinavyo hitajika.
Mtindo mzuri wa kutengeneza faida kwa haraka ni ule unao mtaka mteja kurejesha kila siku.
Mfano mteja amekopa kwako 50,000 riba yake ni %20 means atakurejeshea kwa mwezi sh 60,000 lakini hii 60000 mteja atakua analeta rejesho la kila siku sh 2000.
Faida za rejesho la kila siku.
1: hukupa unafuu wa kupunguza hasara kwa mteja ambae atakimbia na deni lako atakua tayari kasha lipa kiasi flani Cha pesa.
2: kila siku utalala na hela mfano jumla ya marejesho yote kwa siku tuashumu ni 200,000/= kesho una oda ya watu wanne wanao chukua 50 kwa kila mmoja tayari unakua na pesa ya kuwahudumia wateja wako kila siku kuliko mtindo ule wa rejesho la kila wiki.
Ukitumia mfumo huu utapaa haraka ki mtaji.
Changamoto.
Idadi kubwa ya wateja wanao kuja kwako ni wale wasio na sifa za kukopesheka bank, wamama wenye mrundikano wa madeni kila kona hivyo jiandae
1: mteja kurejesha kwa kusua sua leo analeta kesho ana laza,
Asee kwenye hili wabongo ni wabishi kulipa hela za watu. Humu hua naona wadau wanalalamika kudaiwa kwa kuvunjiwa heshima hua naishia kusema kimoyo moyo huyu nae ni wale wale tu, anachukua pesa za watu afu anataka huruma. Wabongo mindset zao zimejitengeza ktm kudhurumu tu au kutapel
2: mteja kukimbia madeni na lako likiwemo. Jipange..
Ofisi zingine huweka utaratibu wa kuwapiga fain wateja wanao laza rejesho ili wawe na hofu ya kuto rejesha au kuchelewesha rejesho.
Mteja hua anaanza kwa kubeep siku za Kwanza ataleta vizuri kwa mda sahihi baadae ataanza kuchelewa atakua analeta nje ya mda wa ofisi na baadae kuanza kulaza hapa anasoma tu maafisa mikopo Kama ni wakali au wapole ukiwa mpole umeisha.
Sasa nimejifunza kwanini hii mikopo inatwa kausha damu kutokana na aina ya wateja walivyo wasumbufu kulipa hell. Ofis zikaja na mbinu za kureplace zile hasara za wateja wasumbufu.
Mwenye swali aulize
Kwasasa ni biashara iliyo shamiri kila Kona ya Tanzania huwezi pita mji au senta flani bila kukutana na ofisi kadhaa za watoaji wa mikopo.
Walio Anza kitambo wametengeneza pesa kuliko wanao ingia sasahivi.
Changamoto kwa wale wanao ingia sasahivi nikua idadi kubwa ya wateja utakao wapata ni wale ambao tayari Wana madeni kutoka ofisi zingine hivyo wakija kwako ukawapa hela watakusumbua kukurejeshea.
Sheria na taratibu za kuanzisha biashara hii unakutaka uwe na mtaji unao anzia sh 20-milion pia uwe na vibali vyote vinavyo hitajika.
Mtindo mzuri wa kutengeneza faida kwa haraka ni ule unao mtaka mteja kurejesha kila siku.
Mfano mteja amekopa kwako 50,000 riba yake ni %20 means atakurejeshea kwa mwezi sh 60,000 lakini hii 60000 mteja atakua analeta rejesho la kila siku sh 2000.
Faida za rejesho la kila siku.
1: hukupa unafuu wa kupunguza hasara kwa mteja ambae atakimbia na deni lako atakua tayari kasha lipa kiasi flani Cha pesa.
2: kila siku utalala na hela mfano jumla ya marejesho yote kwa siku tuashumu ni 200,000/= kesho una oda ya watu wanne wanao chukua 50 kwa kila mmoja tayari unakua na pesa ya kuwahudumia wateja wako kila siku kuliko mtindo ule wa rejesho la kila wiki.
Ukitumia mfumo huu utapaa haraka ki mtaji.
Changamoto.
Idadi kubwa ya wateja wanao kuja kwako ni wale wasio na sifa za kukopesheka bank, wamama wenye mrundikano wa madeni kila kona hivyo jiandae
1: mteja kurejesha kwa kusua sua leo analeta kesho ana laza,
Asee kwenye hili wabongo ni wabishi kulipa hela za watu. Humu hua naona wadau wanalalamika kudaiwa kwa kuvunjiwa heshima hua naishia kusema kimoyo moyo huyu nae ni wale wale tu, anachukua pesa za watu afu anataka huruma. Wabongo mindset zao zimejitengeza ktm kudhurumu tu au kutapel
2: mteja kukimbia madeni na lako likiwemo. Jipange..
Ofisi zingine huweka utaratibu wa kuwapiga fain wateja wanao laza rejesho ili wawe na hofu ya kuto rejesha au kuchelewesha rejesho.
Mteja hua anaanza kwa kubeep siku za Kwanza ataleta vizuri kwa mda sahihi baadae ataanza kuchelewa atakua analeta nje ya mda wa ofisi na baadae kuanza kulaza hapa anasoma tu maafisa mikopo Kama ni wakali au wapole ukiwa mpole umeisha.
Sasa nimejifunza kwanini hii mikopo inatwa kausha damu kutokana na aina ya wateja walivyo wasumbufu kulipa hell. Ofis zikaja na mbinu za kureplace zile hasara za wateja wasumbufu.
Mwenye swali aulize