Window7
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 4,094
- 3,020
Unakuta uliomba kazi miezi miwili imepita, basi ukaamua kurudi mkoani kufanya biashara zako.. Mara unapokea simu kisha unaambiwa "Jina lako limechaguliwa miongoni mwa waombaji watakaofanyiwa usaili hapo kesho saa 6 mchana"
badala ya kufurahi unaanza kuwaza kutoka huku mbwinde mpaka Dar es salaam ni masaa 12.. Kwa nini hawatoi taarifa kabla walau hata siku mbili?
Waajiri wa namna hii hua sielewi lengo lao ni nini, na wapo wengi Bongo hii natamani kujua siri yao.. Kwa nini wanapenda njoo kesho?
badala ya kufurahi unaanza kuwaza kutoka huku mbwinde mpaka Dar es salaam ni masaa 12.. Kwa nini hawatoi taarifa kabla walau hata siku mbili?
Waajiri wa namna hii hua sielewi lengo lao ni nini, na wapo wengi Bongo hii natamani kujua siri yao.. Kwa nini wanapenda njoo kesho?