kuchele.com
Senior Member
- Aug 10, 2015
- 109
- 24
Sasa iyo nyomi ikowapi sasa
Bi Rose hizo picha mbona hazimwonyeshi Dr. Magufuli akiwa anahutubia? Tutaamini vipi kwamba ni za leo na hao watu ndio aliowahutubia?Mkutano unaendelea
Magufuli ambaye pia ni mgombea wa urais kupitia ccm anazungumza kwenye viwanja vya sabasaba mjini Njombe muda huu.
Ahadi ni zile zile, dawa hospitali, elimu bora, kufuta siku za mapumziko ya kiholela holela na mengine mengi.
Kwa bahati mbaya hajasema ccm imefanya nini tangu iingie madarakani
Umati wa waliohudhurulia
View attachment 281748
![]()
Mtanyoooka tu...
Lowassa imekuwaje anyimwe muda wakati shughuri ilikuwa yake mwenyewe ama MC katoka CCM kwa wakubwa zake?