Rose Mayemba
JF-Expert Member
- May 7, 2012
- 721
- 1,017
Magufuli ambaye pia ni mgombea wa urais kupitia ccm anazungumza kwenye viwanja vya sabasaba mjini Njombe muda huu.
Ahadi ni zile zile, dawa hospitali, elimu bora, kufuta siku za mapumziko ya kiholela holela na mengine mengi.
Kwa bahati mbaya hajasema ccm imefanya nini tangu iingie madarakani
Umati wa waliohudhurulia

Ahadi ni zile zile, dawa hospitali, elimu bora, kufuta siku za mapumziko ya kiholela holela na mengine mengi.
Kwa bahati mbaya hajasema ccm imefanya nini tangu iingie madarakani
Umati wa waliohudhurulia
