Alama ya upendo, nunua choroko please asubuhi kabla hawajaondoka wape wale......
Napenda njiwa, niliwaweka kwangu kuna lipaka shume sijui hata lilitoka wapi likaanza kuwawinda wakakimbia 😢, tulikuwa tumezoeana, naweka choroko kwenye viganja wanakuja wanakula hawaniogopi, wakiniona wananifata hadi jikoni