spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,029
- 21,531
Aisee poleee lakini we si mweupe kiasi vitiligo haionekan sana kwakoo kama si mweupe kwann usfanye kama MJ tuMkuuu nimepata vitiligo na MIAKA 14...hizo pombe Wala sikua nazijua
Doctor Aliniambiaga nikubali yangu..ntazikwa nayo..hakuna DAWA for now
