Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,525
- 25,733
Kama kichwa cha habari kinavyojinasibu....Hii ni mara ya pili sasa mtu mzima namalizia kifungo cha takriban wiki moja....
Hii na hatari sana maana naona ninakoelekea nitaenda kupata kifungo cha maisha...kwani nilipomaliza kifungo cha kwanza hazikupita wiki hata mbili nikaswekwa ndani...
'Hivi kumwambia mtu kama unawashwa njoo nikukune' ni tusi..Khaa..Hicho kisentensi ndo kilicho nipa Ban wajameni...
Copy to Arusha one na wana CC wote...
Hii na hatari sana maana naona ninakoelekea nitaenda kupata kifungo cha maisha...kwani nilipomaliza kifungo cha kwanza hazikupita wiki hata mbili nikaswekwa ndani...
'Hivi kumwambia mtu kama unawashwa njoo nikukune' ni tusi..Khaa..Hicho kisentensi ndo kilicho nipa Ban wajameni...
Copy to Arusha one na wana CC wote...
Last edited by a moderator: