Katkit
JF-Expert Member
- Mar 12, 2023
- 1,891
- 4,588
Njia yangu ya mkojo inawasha sana mpaka kuna muda natamani niikune hivi, pia kuna muda niliona kama kuna uchafu kidogo kama usaha kwenye boxer baada ya kuamka.
Pia nikiwa nakojoa naona mkojo kama unaunguza hivi. Naomba wataalamu mnisaidie kutatua hii shida.
Pia nikiwa nakojoa naona mkojo kama unaunguza hivi. Naomba wataalamu mnisaidie kutatua hii shida.