Njia ya kwenda mbinguni!

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
Mchungaji mmoja akiwa katika mji fulani,alikuwa haijui njia ya kwenda posta.Akiwa bado anahangaika,aliwakuta watoto uwanjani wakicheza chandimu(mpira wa makaratasi),akawaomba wamwonyeshe njia ya kwenda posta.Hawakusita,walimpa maelekezo ya kutosha ya jinsi ya kufika posta.Baada ya kusaidiwa,mchungaji aliwashukuru sana wale watoto kisha akawapa mwaliko kesho waje kanisani kwake ili awasaidie kuijua njia ya uzima,njia ya kwenda mbinguni.Watoto wakamjibu kwa kejeli,"we nenda zako huko posta,umeshindwa kuijua njia ya kwenda hapo posta tu,utaijuaje njia ya kwenda mbinguni?"totally impossible!.
 

Dah!!!! Watoto nooooma.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…