Njia salama za kununua kiwanja kuepuka kuuziwa mbuzi kwenye gunia

Mkuu, ukipeleka hizo coordinates, hao wahusika wanaweza kukuambia hapafai, afu wao wakamtamfuta mmiliki wakakinunua, afu wakaja wakawapiga watu hela ya maana.

Hapana Kaka, Ukifika Wizarani kama unajua kuangalia Ramani unaweza kuangalia mwenyewe bila ya hao watu, unachofanya ni kuwaambia unaomba eneo lenye hizo Coordinates, wao watakupa ramani na unaanza kuiangalia mwenyewe, la kama huwezi/hujui basi ndio unawashirikisha wale wafanyakazi kwenye kuangalia ramani na kukupa mafasilio.
Pia kama eneo linamaster plan, Ramani zinakuwa zipo wilayani unaweza kupata hizo ramani zenye coordinates husika hapo hapo wilayani bila kwenda Wizarani.
 

Mkuu nimekuita pande ile kwa ajili ya viwanja. Tuongee basi PM bhana
 

Umetupata muongozo mzuri sana, shukran kwa hilo
 

Hiyo bei ndogo sana siyo kweli
 
Kuna sehemu nyingine inaitwa Gezaulole huko Kigamboni napo ni pazuri tu sema bei ndio sijui japo nahisi labda haiwezi kuwa ghali sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…