Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,329
Mkuu, ukipeleka hizo coordinates, hao wahusika wanaweza kukuambia hapafai, afu wao wakamtamfuta mmiliki wakakinunua, afu wakaja wakawapiga watu hela ya maana.
Hapana Kaka, Ukifika Wizarani kama unajua kuangalia Ramani unaweza kuangalia mwenyewe bila ya hao watu, unachofanya ni kuwaambia unaomba eneo lenye hizo Coordinates, wao watakupa ramani na unaanza kuiangalia mwenyewe, la kama huwezi/hujui basi ndio unawashirikisha wale wafanyakazi kwenye kuangalia ramani na kukupa mafasilio.
Pia kama eneo linamaster plan, Ramani zinakuwa zipo wilayani unaweza kupata hizo ramani zenye coordinates husika hapo hapo wilayani bila kwenda Wizarani.