johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,958
- 141,951
Nauliza kwa wataalamu wa mambo ya utawala wa fedha na uchumi kwamba njia sahihi ya kumaintain bei ya mafuta kwa consumer iwe ile ile hata ikipanda huko duniani ni ipi?
Kuweka ruzuku kwenye mafuta?
Au kupunguza kodi kwenye mafuta?
Maendeleo hayana vyama!
Kuweka ruzuku kwenye mafuta?
Au kupunguza kodi kwenye mafuta?
Maendeleo hayana vyama!