Trueboy
Member
- Jul 9, 2012
- 98
- 72
Habari wana jamvi , imekua ndoto yangu ya muda mrefu kutaka kusogea mbele kidogo na kubadilisha upepo wa bongo kutokana na factors nyingi tu ikiwemo ugumu wa maisha pamoja na uvunjifu wa demokrasia nk.
Nashukuru Mungu nimeweza kupiga hatua moja na kutua nchi mojawapo Asia kimasomo ila sitamani kuishia hapa.
Nimejaribu kuchimba chimba hapa na pale kujaribu kujua wa Tz au Wakenya huwa wanafanyaje kuhamia nchi za Europe na kupata Citizenship/Residentship ?
Katika tembea tembea zangu kwenye nchi za hapa Asia nilibahatika kukutana na dada mmoja mu-Argentina ambae anafanya kazi Australia kwa muda sasa ila alikua ametoka kwaajili ya kushughulikia VISA.
Nilijaribu kumuweka karibu ili kupata details za namna gani alibahatika na ana survive vipi Australia. Niliyoyapata kutoka kwake ni; Kuna kitu kinaitwa “Holliday Visa” aina ya visa ambayo inatolewa na Serikali ya Australia, wanavyosema unaweza apply na ukabahatika kuipata ila kuna vigezo kama uwe na pesa kiasi, uwe na barua ya mdhamini ambayo ndio kazi uliyoipata n.k
Ukiipata sasa unapewa miezi mitatu ya kufanya kazi na baada ya hapo unaweza renew na kupewa miezi mi3 pia , then baada ya kuisha mchezo unakua ni kutoka nje ku renew visa baada ya miezi sita na kurudi kupiga kazi. Na ni nchi nyingi za Europe pia huwa wanafanya huo mtindo, mtu anafanya kazi miezi 6 ana save then anaenda ku relax Nchi nzuri za Asia huko. Isitoshe pesa ya Australia ipo juu kithamani uki compare na nchi za ukanda wa Karibu na Asia.
Anyways nimeandika huu uzi ili kupata mchango wa mawazo , kukosolewa pia kuhusu njia niliyoambiwa hapo juu. Kama kuna mtu mwenye ufahamu zaidi please share uzoefu wako naamini kuna watu wana ndoto kama zangu.
PS: Namna ya ku migrate Spain nitaiweka hapa hapa kwenye uzi mwingine. Tupate mawazo juu ya hili la Australia kwanza. Nawasilisha.
===
KUHUSU SPAIN SOMA HAPA
Nashukuru Mungu nimeweza kupiga hatua moja na kutua nchi mojawapo Asia kimasomo ila sitamani kuishia hapa.
Nimejaribu kuchimba chimba hapa na pale kujaribu kujua wa Tz au Wakenya huwa wanafanyaje kuhamia nchi za Europe na kupata Citizenship/Residentship ?
Katika tembea tembea zangu kwenye nchi za hapa Asia nilibahatika kukutana na dada mmoja mu-Argentina ambae anafanya kazi Australia kwa muda sasa ila alikua ametoka kwaajili ya kushughulikia VISA.
Nilijaribu kumuweka karibu ili kupata details za namna gani alibahatika na ana survive vipi Australia. Niliyoyapata kutoka kwake ni; Kuna kitu kinaitwa “Holliday Visa” aina ya visa ambayo inatolewa na Serikali ya Australia, wanavyosema unaweza apply na ukabahatika kuipata ila kuna vigezo kama uwe na pesa kiasi, uwe na barua ya mdhamini ambayo ndio kazi uliyoipata n.k
Ukiipata sasa unapewa miezi mitatu ya kufanya kazi na baada ya hapo unaweza renew na kupewa miezi mi3 pia , then baada ya kuisha mchezo unakua ni kutoka nje ku renew visa baada ya miezi sita na kurudi kupiga kazi. Na ni nchi nyingi za Europe pia huwa wanafanya huo mtindo, mtu anafanya kazi miezi 6 ana save then anaenda ku relax Nchi nzuri za Asia huko. Isitoshe pesa ya Australia ipo juu kithamani uki compare na nchi za ukanda wa Karibu na Asia.
Anyways nimeandika huu uzi ili kupata mchango wa mawazo , kukosolewa pia kuhusu njia niliyoambiwa hapo juu. Kama kuna mtu mwenye ufahamu zaidi please share uzoefu wako naamini kuna watu wana ndoto kama zangu.
PS: Namna ya ku migrate Spain nitaiweka hapa hapa kwenye uzi mwingine. Tupate mawazo juu ya hili la Australia kwanza. Nawasilisha.
===
KUHUSU SPAIN SOMA HAPA