C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
Wakuu,
Kuna jamaa yangu kahamishiwa kikazi Pangani Tanga, sasa yeye ana gari ndogo aina ya Toyota Porte na alikuwa anataka ku drive na familia yake mpaka Pangani sasa anauliza the best way ya kwenda nalo hilo gari ni kupitia Tanga mjini then aitafute barabara ya Pangani au aende mpaka Mkata then atumie njia ya kwa Msisi.
Njia ipi ni friendly kwa magari madogo? Na barabara zikoje?
Naomba kuwasilisha
Kuna jamaa yangu kahamishiwa kikazi Pangani Tanga, sasa yeye ana gari ndogo aina ya Toyota Porte na alikuwa anataka ku drive na familia yake mpaka Pangani sasa anauliza the best way ya kwenda nalo hilo gari ni kupitia Tanga mjini then aitafute barabara ya Pangani au aende mpaka Mkata then atumie njia ya kwa Msisi.
Njia ipi ni friendly kwa magari madogo? Na barabara zikoje?
Naomba kuwasilisha