wewe ni mume wa mke na watoto 2. unaish nje ya nchi, mkeo yupo tanzania sasa mkeo kapata safari ya kikaz kwenda nje ya nchi je utakubali aende ama utakataa? nchi anayokwenda ni tofauti na uliyoko wewe.
yeye anakwenda kikazi na wewe uko huko kikazi. wewe kazi yako ni contract ya muda mrefu yeye ni safari ya muda mfupi. nyumban watoto ni wadogo sana ambao kubaki peke yao pasi usimamizi wa mzazi ni ngumu utafanyeje? ku-decline offer ya kazi ni ngumu so ntatafuta solution. kama una mtu trusted anayeweza kutunza watoto then mtumie na uwe una-communicate daily (using skype) kujua hali ya nyumbani.
je wewe mama ama wewe baba mtafanyaje? take the offer because its your career, baba amsapoti mkewe na kuonesha uko naye
je unafikiri hela mnazotafuta wewe baba na mama watoto wanazifaidi kwa stail hii ya maisha? itawasaidia maana its for them, cha muhimu ni ku-maintain communication and show them that although uko mbali nao bado unawapenda na unataka kujua wanaendeleaje? mzazi wangu alikuwa anafanya hivi alipokuwa anasafiri nje and we were happy knowing alikuwa salama na bado anatujali