Njia panda imenikuta

Njia panda imenikuta

julius mahinya

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
1,152
Reaction score
384
Habari zenu wadau?

Yapata mwaka toka nitambulishwe katika familia moja ya kifahari kama kijana mwenye maadili bora na mpole, japo mtambulishaji mengi alitia chumvi na kwa kuwa hakuwa ananifahamu kivile nilichukulia poa nami sikutaka kumwangusha nilikubaliana naye kwa kila alilo sema siku ile na kifupi alikuwa ananitambulisha kwa dada yake + mme wa dada yake, mtambulishaji ni mama wa miaka kama 37 hivi hivyo nao walimwamini pia.

Familia ile ina watoto wawili tu, mmoja wa kike anatarajia kujoin chuo first degree mwaka huu na wa pili (wa kiume)yuko darasa la tano! wakati natambulishwa wa kike alikuwa form six.

Baada ya utambulisho ule yule mama alinipigia simu yeye kama yeye akaniuliza miaka yangu, na alitaka kujua kwetu vizuri zaidi lakini pia alitaka niwe nawatembelea pale kwao kila weekend! nilimweleza ukweli zaidi kuwa mimi mwana wa mkulima mambo ya viazi, magimbi, mboga pori na maziwa sana tu! Hapa mjini fursa, uwezeshwaji na ni kama bahati tu. Wenzangu jembe kwenda mbele huko home.

Akawa ananitoa vichange vidogo vidogo mwisho leo kataka nimugegede huku binti yake alitaka kugegedwa kitambo na muda wote alikuwa anachat nami. Hata tulivyo anza sijui maana hakuna aliyemtongoza mwenzie ilitokea automatic tunaitana dear, darling , mpenzi n.k mwisho ahadi za kugegedana pindi kunako nafasi.

Mbaya zaidi binamu yake na huyo binti anasoma Afrika kusini anachat nami baada ya kutambulishwa na huyo binti kama mimi ni rafiki yake so yeye anaomba tuwe zaidi ya marafiki! Hadi naongea hivi hakuna aliye gegedwa nami wote ni maongezi na ahadi sasa nifanyeje?

Naomba ushauri wenu maana leo yule mama aliniita na nilipofika kanieleza huo mpango na kanipa zawadi ya birthday yangu, bintie naye kafanya hivyo (na maanisha kanipa zawadi ya kisiri kama yalivyo mahusiano yetu) japo yule wa South kaishia kuzungumza.

Mama mtu nimeahidi kumpa jibu baada ya wiki moja!
 
We una umri gani? Ili tupate uwiano kati yako na mwanachuo, na huyo mama wa 37.
 
^^
Jifungie chumbani
Jiulize moyoni
Jema lipi duniani
Maisha ya chini
Si utumwa asilani
Usitake utajiri
Ukuletao hukumuni
Ona mwisho wa safari
Kabla hujaanza safiri
^^
Naona kama umeongeza mawazo zaidi kwangu duh!
 
Tayari umeshlipika bomu. Muda wowote linapasuka xo uamuz mzuri ni kuwaacha wte n then go n start afresh some where else with someone else bila kurudia makosa. Usikute wameshakugundua tabia yako xo wanakuchora tu.
 
Sasa njia panda inatoka wapi hapo? Wanaume wasiojua nini wanataka wanakera sana..!
 
kuwa na yule unaempenda kwa dhati, nafikir aliye kutambulisha.............otherwise kuwa na msimamo ndugu yangu
 
Uwiii kwani we wampenda yupi zaidi kati ya hao watatu?Lazima wamezidiana eti?
Kifupi binti ni black beauty na binamu ni white but so cute mama ni maji ya kunde kabeba zigo hilo nyuma! so wote wanavutia sana kumtamanisha kila mwanaume naona binti yake ananifaa zaidi! ni mrembo sana mwenye rangi ya asili nywele ndefu na za asili karibia kila kitu kwake ni cha asili nampenda yeye!
 
sa mbona ulikuwa unalalamika kuwa uko lonely.........

za kuambiwa changanya na zako..........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom