Njia panda imenikuta

Njia panda imenikuta

julius mahinya ukitaka kula bila chokochoko anza na mtoto kwanza, then mama coz kama mtoto akileta chokochoko mama atatuliza. lakini kama utaanza na mama halafu mtoto utaharibu kabisa. coz mtoto atakuwa na makelele sana.
 
Last edited by a moderator:
naogopa kuchukuwa maamzi yatakayo kuwa na mwisho mbaya!

Tuambie kwanza hayo maamuzi unayotaka kuyachukua lakini unaogopa ili tukushauri kama yanafaa au jinsi ya kuneutrolize yasiwe na mwisho mbaya.
 
Na Mungu wako ni yupi?
Mafundisho yake yanasemaje?
Anapatikana humu MMU?
Yule wa wote!
Nisiabudu miungu wengine ila yeye tu
Nishike kitakatifu siku ya kumwabudu
Nimheshimu baba na mama
nisiuwe
nisiibe
usizini,
nisiseme uongo
nisitamani mke asiye wangu kama wewe hivi
nisitamani mali ya mtu mwingine kama hilo gari lako
...................................
Zote mimi nimetimiza ila sasa hao wanao nifuata ndugu yangu?
ANAPATIKANA KILA MAHALI!!!
 
Tuambie kwanza hayo maamuzi unayotaka kuyachukua lakini unaogopa ili tukushauri kama yanafaa au jinsi ya kuneutrolize yasiwe na mwisho mbaya.

Kuacha wote!!!!!!! unaonaje hiyo maana wengi wameshauri hivyo?
 
Yule wa wote!
Nisiabudu miungu wengine ila yeye tu
Nishike kitakatifu siku ya kumwabudu
Nimheshimu baba na mama
nisiuwe
nisiibe
usizini,
nisiseme uongo
nisitamani mke asiye wangu kama wewe hivi
nisitamani mali ya mtu mwingine kama hilo gari lako
...................................
Zote mimi nimetimiza ila sasa hao wanao nifuata ndugu yangu?
ANAPATIKANA KILA MAHALI!!!

mbona uzi wako unaonesha umesha tamani?
Wanasemaje? Tunakosa kwa mawazo, kwa maneno, kwa matendo na kutotimiza wajibu.
 
fanya kama hakuna JF then ingia kazini na akili zako alone
 
Kifupi binti ni black beauty na binamu ni white but so cute mama ni maji ya kunde kabeba zigo hilo nyuma! so wote wanavutia sana kumtamanisha kila mwanaume naona binti yake ananifaa zaidi! ni mrembo sana mwenye rangi ya asili nywele ndefu na za asili karibia kila kitu kwake ni cha asili nampenda yeye!
Basi ndo ungangane na huyo binti hao wengine wapoteze tu!
 
Hiyo zawadi ya kisiki uliyopewa ndo zawadi gani hiyo? Pia dhambi nyingine unaweza kuzikimbia kwa miguu yako mwenyewe!
 
Endelea na umtakaye, wengine wote piga chini na acha kuendekeza mawasiliano nao.

Mbali na hilo unanipa wasiwasi kuwa hujui utakalo, mapenzi unataka utajiri nao kama unakutoa udenda vile vile. Na ukienda kutambulishwa penginepo napo utaendekeza kuchat chat na wazuri utakaowakuta huko? Sikia kengele, tulizana na wako.
 
Duniani kuna mambo, ngoja nifungue mlango nikatizame biashara zangu coz ya dunia ni mengi........hili ndo tatizo la Kuwa na hela pia.....Hao wote wanadhan kwa vile ww choka mbaya then utakuwa na true love......kumbe bnadam wana Tabia tofaut tofaut, na ndo kama ivi maskin wasipoangalia watagongwa wote kwa mtu waliemuamin
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom