BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
its about time, huh? Women learned it from the best, they learned it from you!
ni kweli wachumba wako kibao na inaonekana uyo duu amekuona zuzu bro kama vip piga chini ufanye mambo mengine
Akuna urafk wa mwaume na mwanamkee..ipo cku watakutanisha..
Jaman me na mchumba wangu my wife to be, kuna jamaa ambaye najua anamfuatilia na nishamwambia my girl kuhusu huyo people na kumuonya astop communicatn nae bt cha ajabu nikishika phone yake call list nakuta na ya huyo msela nikimwambia anadai ni normal friend nisihofu cha kushangaza mchumba wangu alikuwa anaumwa nikaenda kumuona kwao bt nikamkuta mshikaji ndani kaketi kaja kumuona, hapa nashindwa kuelewa is just friendship au coz nishamwambia astop mawasiliano bt they are stil, njia panda is she love him or friendship
Aisee ni soo, jamani nashukuruni kwa mawazo bt stil I love her, maamuzi magumu bado ni ishu honestly!
Aisee ni soo, jamani nashukuruni kwa mawazo bt stil I love her, maamuzi magumu bado ni ishu honestly!