Umkilo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2018
- 470
- 419
ule
Ule mkataba wake na mbowe sio wakuuvunja kienyeji kama unavyofikilia yaani uamke tu asubuhi moja useme namfukuza Lowasa? thubutu uone.Hapa swala ni moja tu, Lowasa kwa sasa ni mzigo mkubwa pale Chadema anatakiwa arudi alipotoka au astaafu. La sivyo chama kitazidi kudhoofu, he is cancer for them kuanza upya siyo ujinga.