Elections 2015 Njia nyeupe kwa CCM Jimbo la Monduli: Fred Lowassa ajitoa katika kinyang'anyiro cha Ubunge ndani ya CHADEMA

Chadema hamna sababu yakushiriki huo uchafuzi tafuteni mbinu mbadala za kusurvive maana yajayo yanahuzunisha 2020 msitegemee hata mmoja wenu kurejea bungeni au udiwani kwa aina hii ya siasa zinazofanywa na CCM. Msije kusema sikuwaambia.,, waacheni wakajichague wenyewe..ili washangilie kama mazuzu.

Tz ni nchi yenye vyama vingi, hata chadema wakisusa, vyema vingine vitashiriki, hivyo ushindi utashangiliwa bila hofu wala bughuza. Atakayeumia ni Mbowe kwa kukosa ruzuku
 
Tz ni nchi yenye vyama vingi, hata chadema wakisusa, vyema vingine vitashiriki, hivyo ushindi utashangiliwa bila hofu wala bughuza. Atakayeumia ni Mbowe kwa kukosa ruzuku
unazungumzia vyama vingine kama vipi? Hivi vya kina lyatonga mrema wanaomsifia magufuli? Hovyo kabisa hao ni CCM B
 
20180816_122024.png
 
Mwenyekiti mtarajiwa wa CHADEMA, Tundu Lissu ameionya CHADEMA isijitoe kwenye Uchaguzi Mdogo ujao.
IMG_6340.JPG IMG_6341.JPG

Hapa naona jinsi CHADEMA wanavyoenda kuwa wasindikizaji kwenye Majimbo ya Korogwe Vijijini, Monduli na Ukonga.
 
Lowasa na familia yake hawajawahi kuwa wapinzani,Namkubali sana Mbowe,Nilikuwa namkubali sana Dk Slaa,Sijawahi mchukia Mbowe kwa kumleta Lowasa CHADEMA,LAKINI SIJAWAHI MPENDA LOWASA.Lowasa ni CCM ni LICCM kama liJohn.

Wewe uliona mbali sana

Mimi jana wakati naangalia ile picha ya mama Janet,JPM na Lowasa na mkewe nilijiuliza ingekuwaje kama Mama Lowassa angekubali ule ubunge aliopewa na CHADEMA ila aliukataa

Hapo tu CHADEMA walipaswa kujiuliza

Halafu likaja hili la Fred kujitoa kimagumashi akawasafishia njia CCM

Jana Mzee kaitwa Ikulu leo dogo kachukua fomu

Upinzani urudi kwenye drawing board upya aisee wakachore plans zao upya kabisa wanachezeshwa game kubwa kuliko uwezo wao
 
Au tetesi za EDO kuandaa watu kurudi CCM ni kweli?

Sio tetesi tena mkuu yamekua kweli

Walishajiandaa kama familia hawa

Toka mamaake alivyokataa ule ubunge maalum aliopewa na CHADEMA ilikua ni dalili ya mvua na sasa inanyesha tena mvua ya tufani
 
Mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, Freddy Lowassa amejitoa katika kinyang'anyiro cha kuomba ridhaa ya kupeperusha Bendera ya CHADEMA katika Jimbo la Monduli.

Freddy alitoa taarifa ya kujitoa kwa sababu binafsi lakini ndiye aliyetazamiwa kutoa ushindani mkali kwenye kinyang'anyiro hicho kutokana na historia yake ndani ya Jimbo hilo, ambapo alikuwa akishiriki harakati mbalimbali kwa kipindi kirefu wakati baba yake akiwa Mbunge wa Jimbo hilo kupitia CCM.

Hali hiyo ya kujitoa kwa Freddy Lowassa, imemwachia Diwani wa Kata ya Lepurko, Yonas Laizer kuongoza kwenye kinyang'anyiro ndani ya CHADEMA, kilichofanyika tarehe 11 Agosti 2018.

Hali hii inatoa nafsi kubwa kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kulirejesha tena mikononi mwake Jimbo hilo baada ya kulipoteza mwaka 2015.


View attachment 836474
duh!!
 
Back
Top Bottom