Njia nyembamba (Simulizi mpya by SteveMollel)

Njia nyembamba (Simulizi mpya by SteveMollel)

Aisee

njia nyembamba sidhani kama tutaimaliza.

Maisha ni yaleyale kama wengine

strori nusu mwisho utajijuuu.

daaa

vibaya hivyo watunzi!!
 
Nawasiwasi na jinsia yako, kinachokufanya kuuliza huko nini?
kama umeshindwa kufuatilia ulipoishia.. sie tukusaidiaje?
Bahati nzuri mama aliniomba niwaheshimu wanawake, vinginevyo nikikufanyia vibaya nahisi nitamuumiza mama yangu na atahisi maneno yake yalienda bure
Namuheshimu mama yangu

Nawaheshimu wanawake, hasa kwa kuwavumilia na kila kero zao. Kwangu kero na dharau zenu zinasafishwa na heshima yangu kwa mama. Sitokaa nijibizane na mwanamke kwa ubaya ili kulinda heshima ya mama yangu.

Hua naamini kumuheshimu mwanamke yeyote ni furaha kwa mama yangu.
 
Hatimaye nilichokuwa nakikwepa kumbe kilikua mbele yangu kikija upande wangu sasa nimekutana nacho aseee

Shunieeeeeeeeee
Tomasoooo
 
Back
Top Bottom