SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,430
- 23,748
- Thread starter
- #301
Nikipata muda mkuu wangu huwa narusha tu. Ni kubanwa tu na vijishughuli mkuu.Ikikupendeza katika siku za sikukuu kama Mei Mosi,
uwe unatupiamo basi ka njia nyembamba mkuu.
Adha ya kiu aijua mwenye kiu
Halafu uwe unanitagNikipata muda mkuu wangu huwa narusha tu. Ni kubanwa tu na vijishughuli mkuu.
☆Steve
kama ww mkuu nilipo upoNakukubali kila kona upo! Hakika we we kiungo mkabaji
Arosto katolee kwa Nitakupata Tu ya Ibra87daah steve now days kawa kama mzaramo maneno meengi mzigo hakuna na ratiba alipanga mwenyewe, daah arosto sijui tukazitolee wapi
nayo inaenda taratibu sanaArosto katolee kwa Nitakupata Tu ya Ibra87
Daaaah, kwa kweli!! Kwa hiyo hadi next furahi dei tena!! Haina noma mkuu, pamoja sana!!Hatudaiani sasa.
☆Steve
Kesho mkuu.Daaaah, kwa kweli!! Kwa hiyo hadi next furahi dei tena!! Haina noma mkuu, pamoja sana!!