Yaani daaaah!! Mstue jamaa alete uhondo!!Leo ni jumamosi !!,......au imefikia tamati mkuu?
hayahaya lesteve iti isi furaidei
Haya njoeni wakuu wangu! Nimekuja.Natamani iendelee tena na tena!
Tuko pamoja
Leo ni jumamosi !!,......au imefikia tamati mkuu?
Steve
Yaani daaaah!! Mstue jamaa alete uhondo!!
Steve hachia kiunzi hicho
SteveMollel leta vitu huku
Wap Steve jaman mateja tunahangaika huku
tivu ukujeee jmos leo
Nakukubali kila kona upo! Hakika we we kiungo mkabajisantee tivu nimeona kama ya leo fupiii
Utasababisha watu tuvunjike miguuNtakuja..soon
Basi ujue simulizi tam.santee tivu nimeona kama ya leo fupiii
Siyo mbali sana. Si kesho kutwa tu hapo.Duuuuh, kwa hiyo ndo hadi next Friday??!! Mbali sana asee!