Evarist Massawe
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 666
- 853
watu walitaka offer leo maana ni sikukuuJumatatu sina ratiba ya simulizi mkuu.
☆Steve
watu walitaka offer leo maana ni sikukuuJumatatu sina ratiba ya simulizi mkuu.
☆Steve
Kunogewa ndugu yngu hata ratiba tunaisahauWapendwa mbona ratiba niliitoa mapema tu. Simulizi ni Ijumaa, Jumamosi na Jumapili, Tumosa.
☆Steve
Hahahha pole Tumosa kwa uteja.Kunogewa ndugu yngu hata ratiba tunaisahau
Hahahhaha wamenogewa.watu walitaka offer leo maana ni sikukuu
Asante mpendwaHahahha pole Tumosa kwa uteja.
☆Steve
Ijumaa ndo hii SteveHahahha pole Tumosa kwa uteja.
☆Steve
Okey nasuburiNakuja mkuu wangu.
☆Steve
Pouwa mkuu, niko nasubiri next move!!Bado sijakikamilisha mkuu wangu, nikikamilisha nitatoa taarifa.
Usijali nishakuweka kwenye orodha.
☆Steve
Pls nitag tafadhali
Ahsante sana mkuu. Hii story ni moto wa kuotea maili moja kando! Toa vitabu basi mkuu, mie ntakuwa mteja wako wa kwanza kabisa!
- Amini nakwambia
mkuu Steve leo vipi?
Tunaisubiri mkuu usisahau kunitag
Uko vizur mtunzi big up
ijumaa si ndio leo
hayahaya lesteve iti isi furaidei
Okey nasuburi
Pouwa mkuu, niko nasubiri next move!!