Napenda sana andiko miradi miepesi kwa mtu wa chini hususani vijana walioko kati ya miaka 20 hadi 35. Wenye uelewa wa uwekezaji na wauaminifu tujaribu hili
Tukipata vijana 100 wanachama, na kila kijana ana uwezo wakutunza sh 50,000 kila mwezi kiasi ambacho ni kinazekana au chini yake kidogo.
Kwa mwezi
50,000 X 100=5,000,000
`kwa mwaka.
5,000,000 X 12= 60,000,000
Kwa miaka mitano(5)
60,000,000 X 5 = 300,000,000
Wekeza hi pesa kwenye 300,000,000 strategic real estate mji inao kua kama kigamboni kibaha au Goba
Kwa mfano mnapata acre 1 ya aridhi kwa 50,000,000 kila heka
300,000,000 /50,000,000 = 6 acres
Kila heka ina viwanja 8 20×30 au 50 X100ft, kwa hiyo mtakua na viwanja 48 plots, zenye kua na njia nzuri
Kila plot ukiiuza 15,000,000, bei ambao ni ndogo sana and fair
15,000,000 X 48 =720,000,000.
Mtapata milioni mia saba na ishirini.(720,000,000) mkogawana kwa wana chama 100 kila mwana chama hupata milioni 72m.
Mtaji unao weza vizuri kua chazo cha kuvunja the vicious cycle of poverty kwenye familia, ebu fikiliani kuhusu hili kwa makini, naomba constractive critism kuhusu hilo.
Ebu tuongane tupambane na umasikini
Tukipata vijana 100 wanachama, na kila kijana ana uwezo wakutunza sh 50,000 kila mwezi kiasi ambacho ni kinazekana au chini yake kidogo.
Kwa mwezi
50,000 X 100=5,000,000
`kwa mwaka.
5,000,000 X 12= 60,000,000
Kwa miaka mitano(5)
60,000,000 X 5 = 300,000,000
Wekeza hi pesa kwenye 300,000,000 strategic real estate mji inao kua kama kigamboni kibaha au Goba
Kwa mfano mnapata acre 1 ya aridhi kwa 50,000,000 kila heka
300,000,000 /50,000,000 = 6 acres
Kila heka ina viwanja 8 20×30 au 50 X100ft, kwa hiyo mtakua na viwanja 48 plots, zenye kua na njia nzuri
Kila plot ukiiuza 15,000,000, bei ambao ni ndogo sana and fair
15,000,000 X 48 =720,000,000.
Mtapata milioni mia saba na ishirini.(720,000,000) mkogawana kwa wana chama 100 kila mwana chama hupata milioni 72m.
Mtaji unao weza vizuri kua chazo cha kuvunja the vicious cycle of poverty kwenye familia, ebu fikiliani kuhusu hili kwa makini, naomba constractive critism kuhusu hilo.
Ebu tuongane tupambane na umasikini