Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
uuh!????......ok inaweza isiwe chuki basi "maneno ya mkosaji"...LOL!
Duuu hii iko very low shem....
uuh!????......ok inaweza isiwe chuki basi "maneno ya mkosaji"...LOL!
Duuu hii iko very low shem....
Hahahaha shem!....haya i take it back!...
anyhoo how are you>?
I am surviving kimtindo.....!
Mnajuaje kuwa haongozwi na Mungu?
Cuz hivi unafahamu kuwa watu wanakwenda kanisani na kusali just like a routine ili mradi aonekane na yeye amekwenda kansani...na hiyo haisadii kuondoa maovu yako je ni kwamba unataka kupata msaada kutoka kwa mungu au unamjaribu?...inabidi usali as you mean it...na mungu kusaidia...
imependekezwa humu kana kwamba Kikwete hamjui Mungu au hana msaada wa Mungu na hivyo anamhitaji Mungu.. swali langu bado lipo watu wamejuaje kuwa haongozwi na Mungu kiasi kwamba amuhitaji sasa? Na wale wanaotoa pendekezo hili wanajuaje kuwa wao wanaongozwa na Mungu?
imependekezwa humu kana kwamba Kikwete hamjui Mungu au hana msaada wa Mungu na hivyo anamhitaji Mungu.. swali langu bado lipo watu wamejuaje kuwa haongozwi na Mungu kiasi kwamba amuhitaji sasa? Na wale wanaotoa pendekezo hili wanajuaje kuwa wao wanaongozwa na Mungu?