Njia kuu utata mtupu!

Kitabu kinauzwa
 

Attachments

  • 1397806530503.jpg
    49.6 KB · Views: 107
Mme wa mtu sumu.....hapo tunamalizana kimjinimjini.


1. TAFUTA ACID ( sh. 50000)...mmwagie huyo mchepuko. Ni pm kama utahitaji.

2. TAfuta bastora...sh.laki moja na nusu...ikiwa na risasi..sh. 200000. Ni pm kama utahitaji.

3. Tafuta washkaji wamteke huyo mwizi wako....kisha wampigie kwa tigo mpaka ashindwe kutembea. Kwa hapa Dar sh. 400000 tu..usafiri wako.

Kwa mikoani sh. 700000. Usafiri na malazi ya siku mbili juu yako. Ni pm kama utahitaji huduma hii.


4. Chukua picha ya mchepuko peleka kwa Mganga wa jadi. Chagua..awe zombi au afe. Mi naweza kukusaidia mtaalamu wa ukweli kabisa. Kitu kinafanyika dakika 0 na majibu yanaonekana ndani ya dakika 5. Unamtumia njiwa mpaka anapoishi....unaua familia nzima...yeye, mmewe na wanawe...mpaka house gero.


5. Mme wa Mtu sumu.......chukua sumu...ongea na jamaa wa sehemu ambao anapendelea kula chakula au kunywa bia.


Daa...ni pm....mbona swala simple tu.
 

Hey! Blue G!
Take it easy! I think ulinifasiri vibaya! Sikuhalalisha michepuko kwa me! Na hata hayo mamlaka ya kuhalalisha sina! What i have tried to tell ni main reason ya kuchepuka kwa me!
...
Nilichokiongea nahisi kimewamisslead ke wengi, nahisi kuna haja ya kuwaondelea wasiwasi kuhusu ile thired!
Nikipata mda nitafanya hivyo!
...
Uwe na siku njema Blue G!
 
Last edited by a moderator:

Asante ndg,zaidi yA kumompiga mkwara sitafanya chochote,nitagombana na wangapi?kisasi ni kazi ya Mungu.malipo mbona ni humuhumu tu.
 
Kweli my dear wanadhani tuna mioyo ya jiwe, yakiwakuta huwa wanakuwa kama wamenyeshewa vile.ila wajue what goes around comes arround!asante mpenzi
 
Asante mpondamali nimekuelewa.nishamwakia kawa mdogo,nimemnyang'anya funguo za gari
 
Cyan6 he is myn unajua eeh ni jukumu langu ukumbuke napoona dalili za hatari lazima nisome alert,kwani mie nina damu ya chuma kwamba sifeel pain.nimuache tu.utangoja.saana,sifi na tai shingoni.asante pia
 
Hakuna ndoa isiyokuwa tested in its lifetime na haitakuwepo. Cha msingi kuwa na uhakika na facts kwamba mwenzio kachepuka, halafu nenda hatua nyingine zaidi, jiulize why na tafuta majibu bila kutafuta alibi. Kwa kuanzia you have to isolate your spouse from the problem(mchepuko) ndipo uanze kutafuta majibu. Kila la kheri...na pole.
 

Asante ndg Uteu, huo mchepuko cujui kivile,ila ni binti flan,huwa anatumia sasa huko inategemea si unajua tena,marafiki hawajuii.ikitokea hivo sijui itakuwaje,Mungu aniepushie,patachimbika hatari,tuna watoto 2.asante dear
 

kwa mwanaume usijiaminishe kwa asilimia 100% hata siku moja! huo NDIYO ukweli mchungu ambao wanawake hamtaki kuukubali , pole nenda Kasali Mungu NA akutie NGUVU
 

shikamoo babu Asprin,mie nilishakubali yote
Mie bado mdogo sitaki kufa kwa presha
 
Last edited by a moderator:
usiwaze talaka honey keep on praying,and usiwaambie watu wa karibu kama wazazi wenu,marafiki zenu,na majirani,wewe na yeye tafute suluhu,pole i can feel the pain but sitaki kuimagne mpenzi wangu atafanya hivyo ooh
 
asante ndg,zaidi ya kumompiga mkwara sitafanya chochote,nitagombana na wangapi?kisasi ni kazi ya mungu.malipo mbona ni humuhumu tu.

utamwagia acid wangapi.. Sijui kwenda kwa waganga wa kienyeji ya nini yote hayo....

Kila mtu anakushauri lake humu chuja lipi jema na lipi halifai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…