Small Axe
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 652
- 462
Wadau habarini ya shughuli tafadhali naomba kujuzwa ni njia gani rahisi na kwa haraka endapo ukanunua bidhaa au ukapewa kwa nchi za ulaya na iweze kukufikia hapa bongo kwa njia rahisi..
Je kwa njia ya posta naweza mtu akanitumia? Ama Ems na je inaweza tumwa je mdagani mpaka ika fika bongo?
Je kwa njia ya posta naweza mtu akanitumia? Ama Ems na je inaweza tumwa je mdagani mpaka ika fika bongo?