Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,661
- 68,638
Bora kumtambua tabia za mpenzi wako mapema. Kuliko kuingia ndoani mkiwa chain ya watu msururu.
Tafuta mtu wa karibu akuoneshe jinsi ya ku-hack simu ya huyo mpenzi wako kama humuamini.
Ila pia kama umeshathibitisha haaminiki bora kumuacha tu hata bila kum-hack simu yake.
Akifa na presha pia unahusika