Nakushauri tu. Achana kabisa na kufatilia ma meseji yake. Kama unahisi hayuko mwaminifu, muite mwambie viashiria vinaonesha hauko muaminifu na nitakuacha! Akijali atabadilika ukiona viashiria vinazidi achana nae kwa wema tu.Bora iwe ivi asee mana hakuna namna
Nakushauri tu. Achana kabisa na kufatilia ma meseji yake. Kama unahisi hayuko mwaminifu, muite mwambie viashiria vinaonesha hauko muaminifu na nitakuacha! Akijali atabadilika ukiona viashiria vinazidi achana nae kwa wema tu.
Bora kumtambua tabia za mpenzi wako mapema. Kuliko kuingia ndoani mkiwa chain ya watu msururu.
Tafuta mtu wa karibu akuoneshe jinsi ya ku-hack simu ya huyo mpenzi wako kama humuamini.
Ila pia kama umeshathibitisha haaminiki bora kumuacha tu hata bila kum-hack simu yake.
Uzuri vinaumaga alafu unapona. Tena ukiwa mjanja utapona mapema sana. Kama kuna kitu Mungu alijuaga ni kusahau, kama tunaweza kusahau maumivu ya kufiwa na mzazi au mke au mtoto ndani ya siku kadhaa tu na maisha yanaendelea mkuu itakuwa maumivu ya kuachana na mwanamke ambae sio mwaminifu?Daah...Ila moyo unauma sana
Kumlinda mwanamke ni sawa na kuliziba jua na ungo
Habari wanajamvi? Kila kukicha kumekuwa na malalamiko wanaume wanatendwa, na wengi wamaekuwa wakitafuta dawa ya kuthibiti mademu au wake zao. Sasa ndugu zangu, kumlinda mwanamke ni sawa na kuliziba jua na ungo ili lisiaangaze. Huwezi kumzuia mwanamke kufanya yake labda aamue mwenyewe kutulia...www.jamiiforums.com
Sasa utaacha wangapi? Manake atakayefuata naye utaanza kumchokonoa ili uvumbue makosa upate sababu, huo ni umama.Bora kumtambua tabia za mpenzi wako mapema. Kuliko kuingia ndoani mkiwa chain ya watu msururu.
Tafuta mtu wa karibu akuoneshe jinsi ya ku-hack simu ya huyo mpenzi wako kama humuamini.
Ila pia kama umeshathibitisha haaminiki bora kumuacha tu hata bila kum-hack simu yake.
Achana na haya mkuu. Kama humuamini achana nae.
Maisha tayari ni magumu sana mkuu, acha kuyatafuta matatizo yaliyojificha kwa tochi.
Upo sahihi Mkuu yani bora kuumia mapema kabla ya kuingia kwenye ndoa
Sasa utaacha wangapi? Manake atakayefuata naye utaanza kumchokonoa ili uvumbue makosa upate sababu, huo ni umama.