Njia anazotumia Mungu kukusaidia

plan z

JF-Expert Member
Jun 10, 2019
1,381
1,414
Hiki ni kisa cha mchungaji ambaye yeye alikuwa akimwamini Mungu kiasi kwamba alishindwa kutambua njia anazotumia Mungu kusaidia mtu anapokuwa kwenye tatizo.

Mchungaji huyu alikuwa anaamini kwamba Mungu atakuja kumwokoa kimiujiza, mbali na kwamba Mungu alitumia watu mbalimbali kama daraja la kumtoa kwenye tatizo lake, yeye hakukubali aliendelea kusubiri muujiza wa Mungu, pasipo kujua muujiza ameletewa lakini hakuutambua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom