masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,172
View attachment 62312
Mtu atakaye niambia hapa wapi nampa hiki kijiji.
Mtu atakaye niambia hapa wapi nampa hiki kijiji.
DuHapa ni maeneo ya same au hedaru. Hiyo milima ni ya kule kbs
Du
Hapana mkuu, ila mshangao wangu ni mtu kuwa na kaduka,kujinunulia pikipiki wakati nyumba ziko hoi!
Du
Hapana mkuu, ila mshangao wangu ni mtu kuwa na kaduka,kujinunulia pikipiki wakati nyumba ziko hoi!
Usishangae mkuu pikipiki ya kuleta bidhaa dukani- umeona dish? watu lazima tupate mlo wa akili (habari) hata kama mfukoni tuko hoi
labda hii pikipiki ni mtu alikuja kusalimia ndygu yake katika hili duka.
dishi upande huo sina jibu
Hapo sio kijiji baada ya mlima kitonga?
hivi kama ameamua kulima akapata 1m, akaona afungue duka, then akalima na kuuza bidhaa akapata hela ya kununua bodaboda kwa 1.5m, then sasa analima, ana bodaboda na ana duka, anajipanga kuangusha mjengo.
Msiwe warahisi wa kutoa hukumu especially kama hamjui ku-hustle.
masopakyindi, kwa hapa kwetu bongo, ilula siyo kamji kadogo nafikiri wewe unapita barabarani na kucomment sivyo.
Kweli kuna watu masikini wa fikira
Mkuu Ndahani, umepatia, hapo ni baada tu ya kamji kadogo ka Ilula, baada tu ya kupanda Kitonga.
Hapo mahala ni pa siku nyingi sana na pana wakulima lukuki wa zao la nyanya kwa mwaka mzima.
Hapo utakuta Fuso zinasheni kupakia nyanya kila siku, ukiacha zinazouzwa barabarani mwaka mzima.
Kwa msingi huo sikubaliani na observation ya Bigirita.
Kweli kabisa , poverty is one's state of mind!Kweli kuna watu masikini wa fikira