Njama za kumuua Obama

Njama za kumuua Obama

Badala kuandika habari kama iluvyo, badala yake umeiandika utakavyo, yale yale ya akina sitta na deo sanga.
 
Kaka BAK naona mtima chekwaaa!!!!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Wewe muongo hiyo millioni 500 ya Wamarekani umeitoa wapi,rekebisha hiyo kwanza tuendelee na mada uliyoiweka.
 
Ikumbukwe pia kuwa kuna mtu aliipiga ikulu ya white house risasi kadhaa na katika hali ya kushangaza walizi hawakufahamu kuhusu tukio hilo hadi lilipogunduliwa mpasuko kwenye kuta na dirisha na mfanya usafi siku nne baadaye.ni jambo la kushangaza kidogo
 
Hapa bongo kwenye ikulu yetu asingeweka hata unyayo ------ ana ulinzi hatar

Usiniwaze kama huwezi kujiwaza.
 
Ameua Ghadaf hata yeye akiuwawa na hao ni sawa tu
 
Point of correction😛opulation ya US haijafika 500M wajameni iko zaidi tu kidogo ya 300M..
 
Mungu amlinde tu Obama,
hata mimi sipendi aumizwe.
 
Aliingia madarakani kwa kuchaguliwa na wazungu wengi,marekani ina idadi ya wananchi mil 500 na weusi wakiwa mil 80,kwa hiyo wapiga kura wengi ni wazungu,hata hivyo kuna kundi dogo la wazungu wabaguzi ambao roho inawauma sana kumuona Obama akiwa rais,kuruka ukuta wa ikulu ya white house hivi karibuni kwa mtu asiyefahamika hadi kuingia ndani ya eneo la ikulu hiyo,ni dalili kuwa ktk serikali ya Obama kuna watu wapo ktk system ambao wamepanga njama za kumuua rais huyu mwenye mvuto mkubwa duniani,kama walivyomua J.F Kennedy mwaka 1963,kwa wasiojua,Obama ni rais pekee wa US mwenye ulinzi mkali kuliko watangulizi wake wote,hiyo imetokana na asili yake,ikulu ya white house iliyoko mtaa wa penslyvania Washington inaaminika kuwa moja ya ikulu zenye ulinzi wa hali ya juu duniani,ndo maana isingewezekana intruder kuruka ukuta bila ya kuwezeshwa,hiyo ni dalili tosha kuwa kuna njama za kumuua Obama zikifanywa na walinzi wake anaowaamini,ku resign kwa Julia mkuu wa usalama wa rais ni danganya toto,anajua siri nzito huyo.
Sisi huku Africa tunadhani filam huwa ni burudani tu lakini sio zote ni burudani kuna zingine zinaelezea mambo yajayo kwa kuwa mambo mengi huwa yanapangwa na zingine zinaelezea mambo yaliyopo

24 series inaweza kuwa ni filam stahiki kwenye hili jambo

Kwanza ndio tamthilia ilioonesha Rais mweusi Marekani lakini pia alikutana na vitisho vya kuuwawa lakini haikufanikiwa ila alikuja kuuwawa baada ya kutoka madarakani

Njama za kumuua kama zinavyoonekana leo zinatoka kwa watu wa usalama ndivyo ilivyokuwa kwenye 24

Pia rais anakubalika sana kama ilivyokuwa kwenye 24

Haya mambo huenda ni yaa kupanga lakini mara nyingi hupangwa,cha msingi ni kuomba uzima tu ili tuweze kuyaona

Ila huenda akauwawa akitoka madarakani!
 
Back
Top Bottom