Njama za kumuua Obama

Njama za kumuua Obama

Yule jamaa alidhamiria na kumbuka ni mwanajeshi aliepigana vita vya Iraq na kuruka kwake ukuta na kuingia hadi kukamatwa kwake akiwa na kisu tayari kufanya mauaji tunaweza kusema kuwa ni Mungu pekee ndiye anamlinda huyo baba sasha.

Nimependa ulivyomuita!.
 
Osama aliikosakosa whitehouse kidogo tu mwaka 2001.ile ndege ilikua inaenda kujichomekamo kama wasingewahi kuitungua.sijui ingekuaje asee.
 
Back
Top Bottom