Njama za CCM hizi hapa

Njama za CCM hizi hapa

Mkakati kwa Chadema dhidi ya CCM na vyama vitakavyoungana na CCM (Kama vipo), ni kuhakikisha vijana wote wenye kufikia haki ya kupiga kura wanaandikishwa na wanajitokeza kupiga kura. CCM na mfumo wake wa analojia hautashindana tena na mfumo wa digitali wa Chadema kwa kizazi kipya.
 
Bavicha boy in action...
Hilo tusi la Come on, F.U.C.K you si la Bavicha. Nafikiri amelikopi na kupaste tu kutoka kwa viongozi wa juu wa CCM. Tena tusi la bungeni? You can just imagine kama kweli CCM imepeleka watu wenye akili timamu bungeni au vichaa.

Lakini kinachotutia moyo ni kwamba Slaa alishatuambia kwamba wapo makini sana kuliko CCM, Usalama wa Taifa na hata Ikulu. CHADEMA wana watu Ikulu, baraza la mawaziri, polisi na pia inawawakilishi ndani ya vikao vya juu kabisa vya CCM. Take care!
 
  • Thanks
Reactions: ESI
Hata mimi nakuunga mkona, mleta mada hayupo mbali na ukweli, japo wasiopenda kusikia wanambeza, lakini wanaopenda kusikia nadhani wamepata ujumbe. Lakini pia binadamu huwa tuna undermine sana nguvu za Mungu, CCM wajue kama Mungu ameshapanga hata wafanye nini hawatafanikiwa, kwanza ndio wanazidi kumuuzi Mwenyezi Mungu zaidi.

watasubiri sana
 
no, yale yaliyo ya ukweli lazima tuyaseme ili kulilinda taifa hili.

Ndugu yangu, nakushauri usipoteze nguvu zako kumjibu mpumbavu yeyote. Huna sababu ya kubishana nao kwakuwa lengo lao ni kuwaondoa watu kwenye hoja ili kuwarejesha kwenye matusi kama utamaduni wao ulivyo. Songa mbele, wenye kuiskia taarifa wameiskia, na hakuna taarifa yoyote ya kupuuza hata kama imetoka kwa changu! Na ukiona unashambuliwa namna hiyo ujue umewagusa watu, umeharibu mingo yao. Big up kijana, na karibu JF.
 
Kumbuka maneno ya Seif Khatib kuhusu CUF jana morogoro....
By the way hizi ni either hisia au tetesi tu....
 
Personally I value your point, it is not a point of view,its a point of fact! Dr slaa, Mbowe, CDM MPs and all who look to clash down the present tyranical gvt should come together to counter attack this satanic plan of Gambas
 
Mwigulu na Nape ni mapoyoyo tu! Angekuwa Kingunge asiyeamini Mungu labda
 
Ndugu wana JF,

Ndugu kwa Habari nilizozipata hivi punde kutoka chanzo cha uhakika ni kwamba. Wanajua kabisa 2015 hata wakatambikie ni wazi hawawezi kushinda uchaguzi ujao [ Wana CCM wote wanajua hilo Mwigulu unajua fika] hivyo wameamua kuja na staili ya aina yake ili kubaki madarakani, MBINU HIYO NI:

- Kuungana na chama cha NCCR Mageuzi na CUF ili kupata nguvu hivyo juhudi za kufanikisha mpango huu amepewa Nape na Mwigulu, kwa kiasi fulani hawa jamaa nimefanikiwa kumlainisha kiongozi wa NCCR Mageuzi kwa kumwomba mwenyekiti wao ampe ubunge, hivyo wanasubiri ajenda hiyo ijadiliwe kwenye kamati kuu ya hicho chama then wamalize mchakato wake.

- JKutengeneza Hujjuma kabambe na kumpachika mgombea Uraisi wa CHADEMA ili kukizoofisha zaidi, hii imepangwa kufanyika mwaka 2014 mapema ili kumfanya mgombea wa CHADEMA akose nguvu kisheria kugombea Uraisi [ Viongozi wa mkakati ni Mwigulu Mchema na Nape].

Wapenzi wa democrasia wote nawataka msipuuze hili bali ni jambo nyeti na lenye uhakika kabisa toka kwenye vyanzo vya habari za kishushu,

Nawakilisha.
Asanteni.

bora uamini Mungu yupo ukajipanga kumuona afu usimkute, kuliko ukapuuzia, usijiandae afu ukamkuta....
 
Ndugu wana JF,

Ndugu kwa Habari nilizozipata hivi punde kutoka chanzo cha uhakika ni kwamba. Wanajua kabisa 2015 hata wakatambikie ni wazi hawawezi kushinda uchaguzi ujao [ Wana CCM wote wanajua hilo Mwigulu unajua fika] hivyo wameamua kuja na staili ya aina yake ili kubaki madarakani, MBINU HIYO NI:

- Kuungana na chama cha NCCR Mageuzi na CUF ili kupata nguvu hivyo juhudi za kufanikisha mpango huu amepewa Nape na Mwigulu, kwa kiasi fulani hawa jamaa nimefanikiwa kumlainisha kiongozi wa NCCR Mageuzi kwa kumwomba mwenyekiti wao ampe ubunge, hivyo wanasubiri ajenda hiyo ijadiliwe kwenye kamati kuu ya hicho chama then wamalize mchakato wake.

- JKutengeneza Hujjuma kabambe na kumpachika mgombea Uraisi wa CHADEMA ili kukizoofisha zaidi, hii imepangwa kufanyika mwaka 2014 mapema ili kumfanya mgombea wa CHADEMA akose nguvu kisheria kugombea Uraisi [ Viongozi wa mkakati ni Mwigulu Mchema na Nape].

Wapenzi wa democrasia wote nawataka msipuuze hili bali ni jambo nyeti na lenye uhakika kabisa toka kwenye vyanzo vya habari za kishushu,

Nawakilisha.
Asanteni.
Mkuu, kwani chadema tayari wana mgombea wa uchaguzi wa 2015! Du hiki chama kweli hakitufai maana kwa post hii ni wazi kuwa mchakato wa kuwapata wagombea hufanywa kwa siri ndani ya chama na hushirikisha watu wachache tu.
 
Ndugu wana JF,

Ndugu kwa Habari nilizozipata hivi punde kutoka chanzo cha uhakika ni kwamba. Wanajua kabisa 2015 hata wakatambikie ni wazi hawawezi kushinda uchaguzi ujao [ Wana CCM wote wanajua hilo Mwigulu unajua fika] hivyo wameamua kuja na staili ya aina yake ili kubaki madarakani, MBINU HIYO NI:

- Kuungana na chama cha NCCR Mageuzi na CUF ili kupata nguvu hivyo juhudi za kufanikisha mpango huu amepewa Nape na Mwigulu, kwa kiasi fulani hawa jamaa nimefanikiwa kumlainisha kiongozi wa NCCR Mageuzi kwa kumwomba mwenyekiti wao ampe ubunge, hivyo wanasubiri ajenda hiyo ijadiliwe kwenye kamati kuu ya hicho chama then wamalize mchakato wake.

- JKutengeneza Hujjuma kabambe na kumpachika mgombea Uraisi wa CHADEMA ili kukizoofisha zaidi, hii imepangwa kufanyika mwaka 2014 mapema ili kumfanya mgombea wa CHADEMA akose nguvu kisheria kugombea Uraisi [ Viongozi wa mkakati ni Mwigulu Mchema na Nape].

Wapenzi wa democrasia wote nawataka msipuuze hili bali ni jambo nyeti na lenye uhakika kabisa toka kwenye vyanzo vya habari za kishushu,

Nawakilisha.
Asanteni.

Kwa hao uliowataja si sidhani kama kuna ukweli, yaani mtu kama Nape na Mwigulu wawe watu wa kupewa kazi sensitive kama hyo!kama kweli ndo wanajimaliza zaidi..
 
Hata mimi nakuunga mkona, mleta mada hayupo mbali na ukweli, japo wasiopenda kusikia wanambeza, lakini wanaopenda kusikia nadhani wamepata ujumbe. Lakini pia binadamu huwa tuna undermine sana nguvu za Mungu, CCM wajue kama Mungu ameshapanga hata wafanye nini hawatafanikiwa, kwanza ndio wanazidi kumuuzi Mwenyezi Mungu zaidi.
Ya Mungu mwachie Mungu na ya Kaisari mwachie Kaisari......... Usilitaje bure Jina la Mungu wako
 
Back
Top Bottom