Njama za CCM hizi hapa

Njama za CCM hizi hapa

Maneno ya mfa maji mbona kisa cha ajabu sana hiki tena cha kufikilika sasa hapa jk anaingiaje acha uongo wako bwana.
 
Ndugu wana JF,

Ndugu kwa Habari nilizozipata hivi punde kutoka chanzo cha uhakika ni kwamba. Wanajua kabisa 2015 hata wakatambikie ni wazi hawawezi kushinda uchaguzi ujao [ Wana CCM wote wanajua hilo Mwigulu unajua fika] hivyo wameamua kuja na staili ya aina yake ili kubaki madarakani, MBINU HIYO NI:

- Kuungana na chama cha NCCR Mageuzi na CUF ili kupata nguvu hivyo juhudi za kufanikisha mpango huu amepewa Nape na Mwigulu, kwa kiasi fulani hawa jamaa nimefanikiwa kumlainisha kiongozi wa NCCR Mageuzi kwa kumwomba mwenyekiti wao ampe ubunge, hivyo wanasubiri ajenda hiyo ijadiliwe kwenye kamati kuu ya hicho chama then wamalize mchakato wake.

- JKutengeneza Hujjuma kabambe na kumpachika mgombea Uraisi wa CHADEMA ili kukizoofisha zaidi, hii imepangwa kufanyika mwaka 2014 mapema ili kumfanya mgombea wa CHADEMA akose nguvu kisheria kugombea Uraisi [ Viongozi wa mkakati ni Mwigulu Mchema na Nape].

Wapenzi wa democrasia wote nawataka msipuuze hili bali ni jambo nyeti na lenye uhakika kabisa toka kwenye vyanzo vya habari za kishushu,

Nawakilisha.
Asanteni.
Kwa kifupi ni kuwa umekurupuka. Ila tunashukuru kutufahamisha kuwa tayari chadema wameshapata mgombea urais japo kwa njiamza uchochoroni.
 
Noted kamanda, ila kama mkakati Nape + Mwigulu, shaka ondoa kwa sababu ni mpango mfu...
Kiongozi wa watanzania mungu anamjua wala usihangaike kuandaa mipango ya uongo.
 
Asante sana kwa taarifa yako kaka , Usitie shaka maana tunaifuatilia kila hujuma kwa Zero Distance .
 
CCM wanatakiwa kubadilika tena kwa kiwango kikubwa sana, kuhusu mikakati ya kuidhibiti CDM vinginevyo aibu itawapata 2015. Team work inayojengwa na cdm si ya kufanyia mbwembwe za majukwaani. Utawala unaotengezwa na CDM ingawa haujakamilika lakini matunda tayari tumeanza kuyaona.

Test iliyofanywa juzi na jana huko mwanza ambako ni kikao kikubwa cha kwanza tangu kuzinduliwa kanda ya Nyanza magharibi na kupata receiption nzuri kama tulivyooona kwenye thread ya COMPARE AND CONTRAST.It is real a tough going for CCM.Hebu jaribu kufikiria utawala huu utakapomaliza mwaka mmoja hali itakuwaje.Real a going is getting tough for CCM.

Kama CCM wangejua mapema namba kama Filikunjombe na Kangi lugora wangekuwemo ktk moja ya kamati kama uenezi, lakini it is unfortunately too late.Zile forward za CDM hazina mkabaji they have a free role, look at Lema, look at msigwa,Lisssu just to mention few. Hawa ni vijana below 50years wanapambana na wazee kama Kinana, Mangula.

When a going gets tough let a tough get going By LIONEL RICHIE
 
Huwa napata tabu sana kuamini taarifa kama hizi
 
hyo inaweza kuwa kwel....kwa sababu hali yao ni taabani sana tena sana mpaka nawaonea huruma ccm kweli kila kitu kina mwanzo na mwisho wake cccm chalii sasa
 
Silaha na mbowe ni walengwa....wawe makini na virusi ndan ya cdm kuna kijana anataka kuwavuruga ili agombee urais na katba mpya inashusha umri cdm kuwen macho
 
Ni habari nzuri sana hizi ninaposikia Nepi na Chemba ziko pamoja zikikamilisha kazi yao ya kuiteketeza Jembe na Nyundo. Naomba mpambane haswa kuimarisha Chama Chetu Cha . . .
 
in any case hao ni wachumbazetu tu, 2015 hawakatizi
 
Jana ulikaribishwa kitchen party ya nani?

Wadadisi siku zote wakisikia fununu hufanyia kazi fununuzi hizo na kupuuza baada ya uchunguzi, Zipo incident nyingi ila anza na hii, Kama wakataa NENDA JIMBO LA Ulanga Magharibi kaulize aliyefahamika kumshinda Mponda katika kura za maoni alifanyiwa nini na Hicho kilichosemwa kesi yake ilifunguliwa kituo gani na kupelekwa mahakama gani? ukishapata jibu jiulize wenye kesi kama hizo Taifa linawatazamaje na hukumu zao zikoje?
 
utakua umelala while unatembea,hope u set an alarm!
 
Kumbuka maneno ya Seif Khatib kuhusu CUF jana morogoro....
By the way hizi ni either hisia au tetesi tu....
Hicho kinachozungumzwa ni kweli kabisa Mpango wa chama cha CCM ni kufanya kama ilivyo Kenya. Yaani majina ya vyama yabadilike lakini watu ni walewale . Hii ni kujilinda dhidi ya chama kinachoweza kuwachukulia hatua kama KITACHUKUA NCHI NA KUWA NA WATU WAPYA kinaweza kuwachukulia hatua baadhi ya watu wanaoshukiwa kwa matukio mbalimbali maovu. TAKE CARE.
 
Back
Top Bottom