Hmaster
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 346
- 86
Utafiti uliofanyika katika miaka ya hivi karibuni umebaini kwamba katika maeneo mengi ya wazi na barabarani hakuna vinyesi vingi kama zamani. Eti sababu kubwa ni hali mbaya ya kimaisha kwa vijana walio wengi kwamba huishi kwa mlo mmoja tu tena usiokidhi. Je, kuna mwenye maoni tofauti? Nawasilisha!!