BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,032
- 3,944
Jamani, Tatizo la Vyombo vyetu vya habari ni sensenalism! (sorry, kama sivyo inavyoandikwa!) Ni kasuku mno. Mtu akienda tu kwenye chumba cha habari na kusema chochote basi ni Habari! hata kusema tu wacheki -up na upande wa pili ama angalau waonyeshwe hiyo barua ya huo mualiko, waapi!
Tungependa sana angalau nasi tuwe na mchezaji anayecheza ligi iliyo bora kabisa ulimwenguni ya Barclays, lakini hii isituzuie kuhoji kila anayekuja na habari za mchezaji wetu kuitwa na Spurs ama na nani sijui.
Je huyo muandishi aliyeandika habari hii alijisumba angalau kidogo tu hata kwa kuingia kwenye mtandao wa timu hiyo na kuangalia ukweli wa habari hiyo?? Sina maana ya kwamba ni ya Uongo lakini at least ili kubalansi story yake!
Kuna siku kuna mtu ataibuka na kusema manU inataka wachezaji wanne wa JamboForum FC kwa majaribio na tukaanza kujipongeza na kumbe hata hatujaanza mazoezi kiasi cha kuonekana na scouts wa timu hiyo!!!!!
Tungependa sana angalau nasi tuwe na mchezaji anayecheza ligi iliyo bora kabisa ulimwenguni ya Barclays, lakini hii isituzuie kuhoji kila anayekuja na habari za mchezaji wetu kuitwa na Spurs ama na nani sijui.
Je huyo muandishi aliyeandika habari hii alijisumba angalau kidogo tu hata kwa kuingia kwenye mtandao wa timu hiyo na kuangalia ukweli wa habari hiyo?? Sina maana ya kwamba ni ya Uongo lakini at least ili kubalansi story yake!
Kuna siku kuna mtu ataibuka na kusema manU inataka wachezaji wanne wa JamboForum FC kwa majaribio na tukaanza kujipongeza na kumbe hata hatujaanza mazoezi kiasi cha kuonekana na scouts wa timu hiyo!!!!!