Kayoka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 2,239
- 1,884
Wandugu naomba msaada wenu huko mliko. In short me ni mtoto pekee kwa marehemu mama yangu Mariamu Bishanga. Baada ya mama kufariki nikiwa na miaka 5 nililewa na mjomba lakini naye hajui ni tarehe na mwezi gani nimezaliwa. Naomba ushauri wenu ni lini iwe birthday yangu.