Niyonzima atua Simba

Niyonzima atua Simba

Status
Not open for further replies.
Mkuu sijaleta utani bhana.
Nimenogesha story ili uzi wako ukimbize,si ndio lengo lako au?

lengo langu ni kufikisha habari kwa wanamichezo, na ni habari njema kwa wanamsimbazi, najua ujapenda ila ndo ivo tafuteni wa kuziba pengo
 
Yanga bab kubwa mchukueni muone maangamizi..muanze upya ujenzi wakikosi,kwanza sidhani kama atathubutu kucheza tim ambayo msimuujao mashindano yake makubwa ya kimataifa ni kagame hatahuko kwenyewe future is not clear kwasimba
Michezo gani ya Kimataifa Niyonzima anaitaka; kitendo cha yeye kuwa Tanzania tayari anakua mchezaji wa kimaTaifa; siyo kama hao hakina Msuva, Bahanuzi pamoja na Dumayo wanaotafuta pakutokea......Niyonzima yeye anacheza mpira popote pale iwe Simba, Mgambo hata Tabora Rangers.
 
habari nilizozipata punde karibu na uongozi wa Simba zinasema mazungumzo baina simba na niyonzima yako katika hatua ya mwisho kumwaga wino wakati wowote.
Malkia wa nyuki amechukizwa na hatua ya yanga kumsainisha mrisho ngassa na kuongoza msafara ya kulipa kisasa, hii inatokana na yanga kuiona simba kama shamba la bibi kwa kwenda kujivunia wachezaji kama wanavyotaka, sasa ni muda wa kuchukua hatua .
stay tune more to follow....

Hapo natilia mashaka kwa hili
 
Natamani hii habari iwe ya ukweli.
.....Jangwani patakua hapatoshi, ila itakua fundisho kwa Yanga; kwani wamezoea sana kuwalubuni wachezaji wa Simba kila msimu. tangu enzi za Saidi Maulid, Athuman Idd,.............Yondani na Ngasa msimu huu....walishindwa kabisa kuifunga Simba uwanjani wakaanza kutafuta mbinu za kuwabomoa kuwapunguza makali, lkn kwa ujanja wao umeishagundulika tayari na wao yataanza kuwakuta tena Makubwa.
 
Heko malkia ya mchwa, hata sisi nabata ushungu, mimi nabenda malkia yetu
 
Msomaliii msomali na mpira wapi? uploadfromtaptalk1369318385158.jpg
 
habari nilizozipata punde karibu na uongozi wa Simba zinasema mazungumzo baina simba na niyonzima yako katika hatua ya mwisho kumwaga wino wakati wowote.
Malkia wa nyuki amechukizwa na hatua ya yanga kumsainisha mrisho ngassa na kuongoza msafara ya kulipa kisasa, hii inatokana na yanga kuiona simba kama shamba la bibi kwa kwenda kujivunia wachezaji kama wanavyotaka, sasa ni muda wa kuchukua hatua .
stay tune more to follow....
yah nimezipata pia hizi, ametua kwa milioni 200! na kapewa nyumba dubai chezea malkia wewe! Bin Kleb anaweweseka sasa
 
Confirmed!
Niyonzima amwaga wino msimbazi.
Ni Niyonzima wa timu ya daraja la 4 ya VIGWAZA FC.......

Dah, mkuu nilikata network nilipoanza tu kusoma. Nimekuja kurudia tena ndo nikashusha pumzi
 
habari nilizozipata punde karibu na uongozi wa Simba zinasema mazungumzo baina simba na niyonzima yako katika hatua ya mwisho kumwaga wino wakati wowote.
Malkia wa nyuki amechukizwa na hatua ya yanga kumsainisha mrisho ngassa na kuongoza msafara ya kulipa kisasa, hii inatokana na yanga kuiona simba kama shamba la bibi kwa kwenda kujivunia wachezaji kama wanavyotaka, sasa ni muda wa kuchukua hatua .
stay tune more to follow....

Nasikiliza Magic FM hapa. Makamu mwenyekiti wa Simba Kinesi amekanusha kumsajili Niyonzima.

Nnachojua Niyonzima anataka mkwanja mnene kutoka Yanga na anawatumia Simba kama chambo. Which is a normal old trick kwa mwajiriwa ye yote...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom