Las Mas Bobos
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 991
- 326
Simba Koko kwa kujifariji. Na ipo siku utakuja uzi hapa kuwa Simba Koko wamemsajili Manji
kapombe anaenda holland kufanya trial, yanga watamfikisha wap
Toka uzaliwe ulishawahi kuona wapi club inanunua club?
Unajua Niyonzima anaweza kweli kuja Simba kwa sababu moja kubwa ... Yanga watapanda ndege moja tu kucheza na timu ya Misri wakirudi ndo basi tena...
Umesema kweli, anayetajwa hapa sio Haruna aliyetoka APR, ni Haruna aliyetoka YangaUngekuwa unanifahamu physically nadhani ndio ungeamini...nakueleza kuwa Niyonzima unayemtaja hapa sio Haruna aliyetokea APR
Yanga bab kubwa mchukueni muone maangamizi..muanze upya ujenzi wakikosi,kwanza sidhani kama atathubutu kucheza tim ambayo msimuujao mashindano yake makubwa ya kimataifa ni kagame hatahuko kwenyewe future is not clear kwasimba
Simba waache kumendea wachezaji wa YANGA na kama wanataka kuimalisha kikosi chao wafanye usajili kutoka
LIBOLOOOOOO FC.
Umesema kweli, anayetajwa hapa sio Haruna aliyetoka APR, ni Haruna aliyetoka Yanga
aah simba mnautani nyie, libolooooo fc lilikuwa ni kwa ajili ya malkia wao wa nyuki, ah ah
mkuu tuombe iwe kweli pia tumchukue na kiiza na Okwi akirudi itakuwa bomba zaidi....
Simba Koko kwa kujifariji. Na ipo siku utakuja uzi hapa kuwa Simba Koko wamemsajili Manji
simba imenunuliwa na sandalend ya wingereza
laikini aliweza kuthubutu kucheza Yanga msimu huu ambao masindano makubuwa yalikuwa kombe la Mpainduzi itakuwa Simba mwakani mkuu...