min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 47,389
- 130,973
😜😜 umesha nunaKwakweli hakuna huku tunaoga visimani🤦🏽♀️
😜😜 umesha nunaKwakweli hakuna huku tunaoga visimani🤦🏽♀️
Kweli.Usifurahi juu yangu jirani, kuna kupanda na kushuka😅💔
Endelea mkuu. 🤗
Ninune kwetu tena😜😜 umesha nuna
Usinipandishe sukari kijana😫😅kanajifanyaga kajanja sana
Nyumba yako, hela zako, is it their business?!Bafu la Master Bedroom lina nafasi ya kutosha. Ninaweza kuweka kila muhimu ikiwemo sehemu ya mashine ya kufulia nguo.
Moyo unaniambia niweke Jacuzzi, akili inaniambia acha ufahari, utafanyia nini cha maana?
Hebu tushauriane hapa wakuu
Umeukubali mbafu huo?Endelea mkuu. 🤗
Mbona dogo sana?
Mmh!?,napenda sana hii kitu lakin kwa hyo bei hapana,ntatengeneza la kawaida la vigaeBei zake zimechangamka kidogo, kuna siku niliulizia lile la urefu wa mita 1.8 kwa upana wa mita 1.4, bei yake ilikuwa miloni 5.4.
Jacouz sio ufahari
Huo udogo upo kwenye picha au vipimo?Mbona dogo sana?
Jakuzi la vigae? Weka pichaMmh!?,napenda sana hii kitu lakin kwa hyo bei hapana,ntatengeneza la kawaida la vigae
Vipimo. 2.5m kwa 3m ni size ya kawaida inayofaa choo,washing basin na shower space.Huo udogo upo kwenye picha au vipimo?
Anajenga kwa zege/tofali halafu anaweka tiles.Jakuzi la vigae? Weka picha
Unatosheleza Mimi nilichora nikalazimisha 3m x3m Naona niifanya kwa mihemko tu 🤗🤗🤗Umeukubali mbafu huo?