Niwasaidiaje kaka zangu?

Niwasaidiaje kaka zangu?

Habari zenu ndugu zangu!

Mimi ni mdada at my early 20’s. Na ni mtoto wa mwisho na wa kike katika familia yetu nikiwa na kaka zangu wawili mmoja early 30’s mwingine late 20’s. Katika familia yetu mimi ndiye niliyefanikiwa kufika hadi degree nawashukuru wazazi wangu waliweza kunipigania na juhudi zangu pia. Ila kaka zangu mmoja alifanikiwa kufika diploma tu.

Familia yetu ilipitia changamoto nyingi sana sana za kuumiza lakini nashukuru Mungu tupo hai mpaka sasa. Na Mungu kanijalia kazi nzuri, ninajitegemea na kusaidia ndugu zangu pale niwezapo. Nilianza kazi mwaka jana mwezi wa Tano, nikasave nikafanikiwa kununua kiwanja na kufikia hadi hatua ya kuweka msingi! Niliamua kufanya hivyo kwasababu familia yetu hatujawahi kuwa na nyumba yetu wenyewe ya kumiliki! Kwahiyo ni kitu kilichokuwa kinanipa wasiwasi sana vipi siku kikitokea cha kutokea tutaenda wapi? Hivyo nikalipa lengo langu hilo priority.

Lakini sasa kaka zangu bado wanabangaiza vibarua walivyo navyo vinawasaidia kula na nauli za kwenda vibaruani na mara nyingine hata inanibidi niwape mimi hata hela ya nauli na ya kula! Na ilifika kipindi cha kulipa kodi basi nitoe yote au niwachangie! Hili sio tatizo maana najua Mungu kanipa uwezo ili niwasaidie ndugu zangu.

Swali ni ‘niwasaidiaje kakazangu?’ ili waweze kusimama vizuri kiuchumi? Maana mmoja tulishawahi kumchangia mtaji lakini biashra ikawa ngumu ikafeli. Mwingine hana passion na biashra na haiwezi tu niseme ila kibarua chake ni cha kipato kidogo sana. Wanashindwa hata kuoa kwasababu hawako vizuri kiuchumi. Kiukweli naumiaga sana na ni kama inaniongezea depression nikiwafikiria! Kuna wakati nakwama lakini najua sina ndugu wa kumuomba msaada naumia sana!

Sasa naomba mnisaidie ushauri na maoni, niwasaidieje? Je, ina maana mimi kuendelea na ujenzi ilihali ndugu zangu hawako vizuri kiuchumi? Natamani nichukue mkopo niwape kwaajili ya biashara lakini vipi zikifeli maana tayari ilishafeli! Je, ni sawa kuwawazia sana?

Samahani kwa kuwachosha! Natanguliza shukrani.
Malizia nyumba ambayo mnaweza kuishi wote kama familia. Badala ya hapo hakuna tena kuwaza kodi. Kitakachofuatia ni kuwaza maendeleo na maisha yatakuwa rahisi kwa kaka zako.
Usiolewe sasa hivi hasa na m/me Mario utaharibu future ya familia yako.
Mimi nimefika nilipo sababu ya Dada yangu amenipigania sana.
 
Kabila moja kutoka Kaskazini! Naomba nisiwe specific
Jibu swali alilokuuliza mtaalamu. Sisi kama wataalamu wa kukusaidia ushauri tunatazama vigezo mbali mbali.... Alaaaaah....
 
Ile roho ya kimaskini ndio inajidhirisha ndani ya comment yako hii. We mtu kusaidia kuwainua kaka zake unaona gere? Acha wivu wa kichawi mkuu!!!

Utabakia hivyo hivyo.
mkuu hakuna roho ya kimaskini kwangu. nimesomesha wadogo zangu watatu hadi chuo
nipo vizuri
lakini katika kufanya hivyo nimejifunza pia
 
mkuu hakuna roho ya kimaskini kwangu. nimesomesha wadogo zangu watatu hadi chuo
nipo vizuri
lakini katika kufanya hivyo nimejifunza pia
Sasa kumbe umesomesha wadogo zako ila huyu binti kusaidia kaka zake kwako unaona ni tatizo? Acha hizo mzee...
 
Malizia ujenzi..kwanza..
Unaweza fanya biashara za nyumbani kama kufuga kuku ..faida unagawana nao
Na wao wanapata uzoefu wa kufanya hizo biashara...

Unakuwa unawaonesha njia taratibu..
Lakini kujenga usiache...nyumba pia ni biashara
Ukiamua kuuza na kujenga ingine utapata pia faida ya kujenga hata mbili....

Nenda nao taratibu
Biashara zote zinahitaji uzoefu..

Kingine unaweza mtafutia kibarua kwenye biashara ambayo anaonesha interest..
Ataenda jifunza hadi aweze ifanye mwenyewe..

Tatu unaweza waambie watafute partnership
Na wanaojua biashara wajifunze mdogo mdogo
 
Usimsaidie mtu eti wakati wa shida atakusaidia, haipo hivyo.Kusaidia ni roho.Roho zipo tofauti hata kama in tumbo moja.
Kusaidia kuna punguza "poverty circle".
Kitu kikubwa tunachotakiwa tukumbuke ni kuwa sisi watu weusi tupo katika extended family.By any means make sure watu wa karibu wanafanikiwa hata kama hawatakusaidia.
Kaka zako umewazidi "intelligence " hivyo basi teach them how to think don't spoonfeed them they will become most bogus on earth.
A man is a leader in a family how come it is viceversa to you, teach them how to become the leader in the family.
 
Huyo ticha aliua aisee!
Mwalimu wetu wa physics form two sijui alikua anafundisha topic gani akatuambia ili rocket ipae inahitaji ukinzani wa hali ya juu sana kisha akaendelea akili ya binadamu ni kama rocket ili ifanye kazi inatakiwa ibanwe kisawasawa na kuanzia hapo alitupeleka mchakamchaka mpaka wengine walikimbia somo lake

Sasa nachotaka kusema hapa ni kwamba hao kaka zako acha kuwadekeza we wakatie mirija kabisa ikiwezekana hata wakikupigia simu usipokee badili namba kabisa kisha fanya mambo yako ya msingi haiwezekani dume zima at age of 30 unalilipia kodi na hela ya nauli unalipa litajiongeza saa ngapi sasa

We kata misaada fanya mambo yako wangekua wa kike kidogo inge make sense
 
Hebu ngoja kwanza!

Unasema kuna muda ukipata shida huna wa kumuomba, ukiacha mafanikio uliyotaja na elimu yako... una hazina gani mwilini kama binti wa early 20’s?
 
.....Sasa naomba mnisaidie ushauri na maoni, niwasaidieje?

Je, ina maana mimi kuendelea na ujenzi ilihali ndugu zangu hawako vizuri kiuchumi? Natamani nichukue mkopo niwape kwaajili ya biashara lakini vipi zikifeli maana tayari ilishafeli!.

This is first class mistake, usithubutu hata kuwaza.

Kaka zako ni wakubwa zako, kwa umri huo ni lazima tayari wana mfumo wao wa maisha washachagua... wasapoti huko huko (kama kuna umuhimu).

Kufanikiwa peke yako kwenye familia ni utumwa, unawajibika kuwafurahisha hao wengine ili tu wasikuone unawatenga... ni mzigo.

Hata huo ujenzi wa nyumba pamoja na nia yako njema, utaambiwa unajenga kwa kuhofia 'aibu' kwa rafiki zako siku ya siku.

Fanya kwa nafasi yako, wala usiwabeze hao ndugu zako kana kwamba tayari ushayapatia kiviiile.... una charger?
 
Habari zenu ndugu zangu!

Mimi ni mdada at my early 20’s. Na ni mtoto wa mwisho na wa kike katika familia yetu nikiwa na kaka zangu wawili mmoja early 30’s mwingine late 20’s. Katika familia yetu mimi ndiye niliyefanikiwa kufika hadi degree nawashukuru wazazi wangu waliweza kunipigania na juhudi zangu pia. Ila kaka zangu mmoja alifanikiwa kufika diploma tu.

Familia yetu ilipitia changamoto nyingi sana sana za kuumiza lakini nashukuru Mungu tupo hai mpaka sasa. Na Mungu kanijalia kazi nzuri, ninajitegemea na kusaidia ndugu zangu pale niwezapo. Nilianza kazi mwaka jana mwezi wa Tano, nikasave nikafanikiwa kununua kiwanja na kufikia hadi hatua ya kuweka msingi! Niliamua kufanya hivyo kwasababu familia yetu hatujawahi kuwa na nyumba yetu wenyewe ya kumiliki! Kwahiyo ni kitu kilichokuwa kinanipa wasiwasi sana vipi siku kikitokea cha kutokea tutaenda wapi? Hivyo nikalipa lengo langu hilo priority.

Lakini sasa kaka zangu bado wanabangaiza vibarua walivyo navyo vinawasaidia kula na nauli za kwenda vibaruani na mara nyingine hata inanibidi niwape mimi hata hela ya nauli na ya kula! Na ilifika kipindi cha kulipa kodi basi nitoe yote au niwachangie! Hili sio tatizo maana najua Mungu kanipa uwezo ili niwasaidie ndugu zangu.

Swali ni ‘niwasaidiaje kakazangu?’ ili waweze kusimama vizuri kiuchumi? Maana mmoja tulishawahi kumchangia mtaji lakini biashra ikawa ngumu ikafeli. Mwingine hana passion na biashra na haiwezi tu niseme ila kibarua chake ni cha kipato kidogo sana. Wanashindwa hata kuoa kwasababu hawako vizuri kiuchumi. Kiukweli naumiaga sana na ni kama inaniongezea depression nikiwafikiria! Kuna wakati nakwama lakini najua sina ndugu wa kumuomba msaada naumia sana!

Sasa naomba mnisaidie ushauri na maoni, niwasaidieje? Je, ina maana mimi kuendelea na ujenzi ilihali ndugu zangu hawako vizuri kiuchumi? Natamani nichukue mkopo niwape kwaajili ya biashara lakini vipi zikifeli maana tayari ilishafeli! Je, ni sawa kuwawazia sana?

Samahani kwa kuwachosha! Natanguliza shukrani.
Kwanza nipende kukushukuru kwakuwasahidia ndugu zako,,uwezi jua baraka unazopata zinatokana na kuwasahidia ndugu zako kwa moyo..usiache kuwasahidia ila focus zaidi katika malengo yako.
 
Habari zenu ndugu zangu!

Mimi ni mdada at my early 20’s. Na ni mtoto wa mwisho na wa kike katika familia yetu nikiwa na kaka zangu wawili mmoja early 30’s mwingine late 20’s. Katika familia yetu mimi ndiye niliyefanikiwa kufika hadi degree nawashukuru wazazi wangu waliweza kunipigania na juhudi zangu pia. Ila kaka zangu mmoja alifanikiwa kufika diploma tu.

Familia yetu ilipitia changamoto nyingi sana sana za kuumiza lakini nashukuru Mungu tupo hai mpaka sasa. Na Mungu kanijalia kazi nzuri, ninajitegemea na kusaidia ndugu zangu pale niwezapo. Nilianza kazi mwaka jana mwezi wa Tano, nikasave nikafanikiwa kununua kiwanja na kufikia hadi hatua ya kuweka msingi! Niliamua kufanya hivyo kwasababu familia yetu hatujawahi kuwa na nyumba yetu wenyewe ya kumiliki! Kwahiyo ni kitu kilichokuwa kinanipa wasiwasi sana vipi siku kikitokea cha kutokea tutaenda wapi? Hivyo nikalipa lengo langu hilo priority.

Lakini sasa kaka zangu bado wanabangaiza vibarua walivyo navyo vinawasaidia kula na nauli za kwenda vibaruani na mara nyingine hata inanibidi niwape mimi hata hela ya nauli na ya kula! Na ilifika kipindi cha kulipa kodi basi nitoe yote au niwachangie! Hili sio tatizo maana najua Mungu kanipa uwezo ili niwasaidie ndugu zangu.

Swali ni ‘niwasaidiaje kakazangu?’ ili waweze kusimama vizuri kiuchumi? Maana mmoja tulishawahi kumchangia mtaji lakini biashra ikawa ngumu ikafeli. Mwingine hana passion na biashra na haiwezi tu niseme ila kibarua chake ni cha kipato kidogo sana. Wanashindwa hata kuoa kwasababu hawako vizuri kiuchumi. Kiukweli naumiaga sana na ni kama inaniongezea depression nikiwafikiria! Kuna wakati nakwama lakini najua sina ndugu wa kumuomba msaada naumia sana!

Sasa naomba mnisaidie ushauri na maoni, niwasaidieje? Je, ina maana mimi kuendelea na ujenzi ilihali ndugu zangu hawako vizuri kiuchumi? Natamani nichukue mkopo niwape kwaajili ya biashara lakini vipi zikifeli maana tayari ilishafeli! Je, ni sawa kuwawazia sana?

Samahani kwa kuwachosha! Natanguliza shukrani.
Kwanza nipende kukushukuru kwakuwasahidia ndugu zako,,uwezi jua baraka unazopata zinatokana na kuwasahidia ndugu zako kwa moyo..usiache kuwasahidia ila focus zaidi katika malengo yako.
 
Watoto wa kike wapogo poa sana,wakpata wanawaza nyumban kwanza,mifano nnayo,npo na wadada wawili Mkubwa kanizid miaka miwili,Mdogo nmemzid miaka mitatu hawa ndugu wananpgania sana mim kaka yao,Vyeti vyangu wanavyo kila sku wanantafutia ajira Mimi npo tu,waliwah npa hela ya biashara nkashndwa hata cha kufanya,NAKUSHAUR DOGO,JENGA KWANZA HATA USIWE NA HARAKA ZA KUWASAIDIA,UKIMALIZA KUJENGA BUNI BIASHARA NZURI MUITE MMOJA AJE ASIMAMIE AKIHARIBU FUKUZA NA UMPOTEZEE,usiwape mtaji,wew ndo unatakiwa ubuni biashara wao wasimamie,wew uwe boss wao,afu uwe mkali mtu akizingua
Nimecheka sana ila umeongea ukweli mtupu,, sometime madume tunazingua sana
 
Habari zenu ndugu zangu!

Mimi ni mdada at my early 20’s. Na ni mtoto wa mwisho na wa kike katika familia yetu nikiwa na kaka zangu wawili mmoja early 30’s mwingine late 20’s. Katika familia yetu mimi ndiye niliyefanikiwa kufika hadi degree nawashukuru wazazi wangu waliweza kunipigania na juhudi zangu pia. Ila kaka zangu mmoja alifanikiwa kufika diploma tu.

Familia yetu ilipitia changamoto nyingi sana sana za kuumiza lakini nashukuru Mungu tupo hai mpaka sasa. Na Mungu kanijalia kazi nzuri, ninajitegemea na kusaidia ndugu zangu pale niwezapo. Nilianza kazi mwaka jana mwezi wa Tano, nikasave nikafanikiwa kununua kiwanja na kufikia hadi hatua ya kuweka msingi! Niliamua kufanya hivyo kwasababu familia yetu hatujawahi kuwa na nyumba yetu wenyewe ya kumiliki! Kwahiyo ni kitu kilichokuwa kinanipa wasiwasi sana vipi siku kikitokea cha kutokea tutaenda wapi? Hivyo nikalipa lengo langu hilo priority.

Lakini sasa kaka zangu bado wanabangaiza vibarua walivyo navyo vinawasaidia kula na nauli za kwenda vibaruani na mara nyingine hata inanibidi niwape mimi hata hela ya nauli na ya kula! Na ilifika kipindi cha kulipa kodi basi nitoe yote au niwachangie! Hili sio tatizo maana najua Mungu kanipa uwezo ili niwasaidie ndugu zangu.

Swali ni ‘niwasaidiaje kakazangu?’ ili waweze kusimama vizuri kiuchumi? Maana mmoja tulishawahi kumchangia mtaji lakini biashra ikawa ngumu ikafeli. Mwingine hana passion na biashra na haiwezi tu niseme ila kibarua chake ni cha kipato kidogo sana. Wanashindwa hata kuoa kwasababu hawako vizuri kiuchumi. Kiukweli naumiaga sana na ni kama inaniongezea depression nikiwafikiria! Kuna wakati nakwama lakini najua sina ndugu wa kumuomba msaada naumia sana!

Sasa naomba mnisaidie ushauri na maoni, niwasaidieje? Je, ina maana mimi kuendelea na ujenzi ilihali ndugu zangu hawako vizuri kiuchumi? Natamani nichukue mkopo niwape kwaajili ya biashara lakini vipi zikifeli maana tayari ilishafeli! Je, ni sawa kuwawazia sana?

Samahani kwa kuwachosha! Natanguliza shukrani.

Kabla sijakupa ushauri wowote naomba unijibu swali moja tu:

JE, HAO KAKA ZAKO WANAKUNYWA POMBE?

Ukishanijibu hilo ntakupa ushauri nasaha.
 
Back
Top Bottom